Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Mama alishapiga mitano yake ya mwanzo akiwa na Jiwe. Sasa anamalizia awamu ya pili alioachiwa na Jiwe. Subiri siku chache zijazo utaamini maneno yangu. Weka kumbukumbu.Wewe inaonyesha ni mbumbu wa katiba hii ni awamu ya sita kwa hiyo 2025 CCM anachukua form mtu mmoja tu rais aliyepo madarakani mtifuano utakuwa mwaka 2030. Soma katiba zote mbili ya CCM na ya jamhuri ya muungano. Mama hatoki mpaka awamu yake ya miaka 10 iishe