Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa

Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa

Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana... Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi .. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao..Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao.. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025..

Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe
Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine...Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!

Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo

Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD... Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia... Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana

Wote wana ushindani mkubwa sana.. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao...Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana...na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza..lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025..kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa

Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja...hawataki katiba mpya...wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina
Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk

Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu...Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema...

Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Bashungwa for presidency 2025
 
Ni hivi mnajadili CCM 2025, lakini ukweli ni kua wabongo wamechoka sana na hili li chama na wako tayari sasa hivi kuupa upinzani nchi.
Wapinzani wajipange tu 2025 wanaichukua nchi kirahisi sana,hatuwezi kuongozwa na mzanzibar wakati bongo ina watu milioni 60 na uchafu. kwanza nchi imeshamshinda huyu mama ni gender tu inayomlinda kwa sasa na genge la Msoga. 2025 nchi ni ya wapinzani hii.
 
Ni hivi mnajadili CCM 2025, lakini ukweli ni kua wabongo wamechoka sana na hili li chama na wako tayari sasa hivi kuupa upinzani nchi.
Wapinzani wajipange tu 2025 wanaichukua nchi kirahisi sana,hatuwezi kuongozwa na mzanzibar wakati bongo ina watu milioni 60 na uchafu. kwanza nchi imeshamshinda huyu mama ni gender tu inayomlinda kwa sasa na genge la Msoga. 2025 nchi ni ya wapinzani hii.
Nimesema kwa tiketi ya CCM kwa maana ya kwamba kuna washindani wengine nje ya CCM ambao wanaweza kuuutumia huu udhaifu kwa manufaa makubwa

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Ni hivi mnajadili CCM 2025, lakini ukweli ni kua wabongo wamechoka sana na hili li chama na wako tayari sasa hivi kuupa upinzani nchi.
Wapinzani wajipange tu 2025 wanaichukua nchi kirahisi sana,hatuwezi kuongozwa na mzanzibar wakati bongo ina watu milioni 60 na uchafu. kwanza nchi imeshamshinda huyu mama ni gender tu inayomlinda kwa sasa na genge la Msoga. 2025 nchi ni ya wapinzani hii.
Wapinzani wep mkuu,unawazungumzia!
 
Samia hatakua na mpinzani ndani ya chama 2025 mark my words….

Mchezo wa Samia kukaa hapo alipo ulisukwa kwa ustadi mkubwa sana…

Ilikua either Samia, Asha rose au Mary Nagu….2015

Trust me Samia is there until the mission accomplished!!

Hii nchi Boys2men wanazichezea siasa zake kwa akili ya juu sana!
Mama hauziki mtaani labda kama wanataka ccm ife.
 
Samia hatakua na mpinzani ndani ya chama 2025 mark my words….

Mchezo wa Samia kukaa hapo alipo ulisukwa kwa ustadi mkubwa sana…

Ilikua either Samia, Asha rose au Mary Nagu….2015

Trust me Samia is there until the mission accomplished!!

Hii nchi Boys2men wanazichezea siasa zake kwa akili ya juu sana!
Ilikua either Samia, Asha rose au Mary Nagu….2015

Trust me Samia is there until the mission accomplished!!
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]So Lusungo that rip was a planned one??[emoji848][emoji2827][emoji3064]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Nimekuelewa sana mkuu.
Ila kuna kundi la February, linafanya kazi behind the scene na lina nguvu kubwa sana.
Yetu macho
Ni Mara mia ya huyu mama kuliko February, Ila hakuna namna kwa kuwa huyu mama ni dhaifu Sana
Natamani sana huyu mama atoke, Ila shida ni Hilo kundi litalokuja
 
Samia hatakua na mpinzani ndani ya chama 2025 mark my words….

Mchezo wa Samia kukaa hapo alipo ulisukwa kwa ustadi mkubwa sana…

Ilikua either Samia, Asha rose au Mary Nagu….2015

Trust me Samia is there until the mission accomplished!!

Hii nchi Boys2men wanazichezea siasa zake kwa akili ya juu sana!
Merry Nagu??????
 
Ilikua either Samia, Asha rose au Mary Nagu….2015

Trust me Samia is there until the mission accomplished!!
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]So Lusungo that rip was a planned one??[emoji848][emoji2827][emoji3064]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Wajuvi wanasema mzee anamuandaa mtoto wake, huyu mama washajua ni dhaifu hivyo wanamuendesha tu. Wanasema hakuna chochote anachojua
 
Nimekuelewa sana mkuu.
Ila kuna kundi la February, linafanya kazi behind the scene na lina nguvu kubwa sana.
Yetu macho
Ni Mara mia ya huyu mama kuliko February, Ila hakuna namna kwa kuwa huyu mama ni dhaifu Sana
Natamani sana huyu mama atoke, Ila shida ni Hilo kundi litalokuja
Hapa kikubwa ni kupambania katiba mpya tuuu

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana... Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi .. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao..Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao.. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025..

Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe
Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine...Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!

Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo

Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD... Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia... Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana

Wote wana ushindani mkubwa sana.. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao...Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana...na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza..lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025..kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa

Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja...hawataki katiba mpya...wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina
Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk

Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu...Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema...

Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Waache wahangaike bure. Urais wa tanzania hautafutwi mtu anapewa na wananchi. Kama hawaamini wamuulize lowassa. Saa hizi tunajua nani tunampa. Mwenyewe saa hizi halali anachapa kazi kuwatumikia umma.
 
Back
Top Bottom