Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Wasukuma ndiyo nani nchi hii? Wala msitutishe na kelele zenu. Yàani hizo kelele za Josephat Gwajima?. Rais SSH tunaye hadi 2030Mama yupi Mkuu? Huyu huyu au mwingine? Kawekewa mtego na tayari keshanaswa. Hana pakupumulia tena. "Wasukuma Wanaamini kuwa ng'ombe wanaoswagwa na mwanamke kamwe hawafiki mnadani" . Dalili tayari ziko wazi.