Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa

Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa

Mama yupi Mkuu? Huyu huyu au mwingine? Kawekewa mtego na tayari keshanaswa. Hana pakupumulia tena. "Wasukuma Wanaamini kuwa ng'ombe wanaoswagwa na mwanamke kamwe hawafiki mnadani" . Dalili tayari ziko wazi.
Wasukuma ndiyo nani nchi hii? Wala msitutishe na kelele zenu. Yàani hizo kelele za Josephat Gwajima?. Rais SSH tunaye hadi 2030
 
Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana... Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi .. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao..Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao.. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025..

Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe
Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine...Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!

Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo

Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD... Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia... Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana

Wote wana ushindani mkubwa sana.. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao...Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana...na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza..lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025..kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa

Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja...hawataki katiba mpya...wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina
Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk

Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu...Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema...

Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Umejitahidi kupiga majungu kwelikweli
 
Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana... Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi .. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao..Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao.. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025..
Hii ni dhana tu unayoitunga hapa.

Huyo mama angeonyesha uwezo wa kuongoza dhana yako isingekuwepo. Mama hana uwezo wa uongozi, sio tu kwa sababu yeye ni mwanamke.
 
Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana... Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi .. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao..Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao.. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025..

Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe
Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine...Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!

Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo

Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD... Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia... Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana

Wote wana ushindani mkubwa sana.. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao...Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana...na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza..lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025..kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa

Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja...hawataki katiba mpya...wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina
Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk

Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu...Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema...

Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Kati yao hakuna anayefaa kuwa rais hata mmoja. Ni basi tu kwa sababu ya mfumo mbovu wa demokrasia yetu
 
Waziri wa fedha hatumtaki kabisa kwanza ni mnafki na kichwani ni zero licha ya kuwa na PhD.

NB:CCM nayo hatuitaki.
Mkuu usiseme hivyo watu wa dizaini hii huwa wanahama chama then wanapeperusha bendera tunabaki kushangaa ...
 
Nani kiongozi wa Boys2men?
Marry Nagu alikua kwenye first line akifuatiwa na Migiro, Amina Salum Ally then Samia… ukitaka kubali ukitaka acha.

Narudia tena Boys2men wanazichezea siasa za nchi hii kwa akili ya juu sana!!
 
Samia hatakua na mpinzani ndani ya chama 2025 mark my words….

Mchezo wa Samia kukaa hapo alipo ulisukwa kwa ustadi mkubwa sana…

Ilikua either Samia, Asha rose au Mary Nagu….2015

Trust me Samia is there until the mission accomplished!!

Hii nchi Boys2men wanazichezea siasa zake kwa akili ya juu sana!
Asante kwa kunifumbua macho!Namuona mzee wa Msoga kwa mbaali kwenye hicho ulichosema!!!
 
Kuna maneno Samia aliyatoa wakati anahutubia juzi alipopewa taarifa ya Tume ya uchaguzi pamoja na kuwasifia; akasema, "yeye na wagombea wenzake kwa sasa watulie wafanye kazi muda wa kugombea bado".

Mwanzo nilidhani Samia hatagombea, hasa kutokana na body language yake kuonekana hawezi kuendana na kasi ya mamlaka aliyonayo, pia incompetence aliyonayo upstairs, lakini kwa kauli yake hiyo, imenifanya nianze kubadili mtazamo wangu taratibu, madaraka matamu.
Hakuna mwanasiasa anakubali kuachia madaraka kirahisi, siyo rahisi Samia aachie hivihivi tu Hadi abanwe na katiba. Hata Mbowe hakubali kuachia madaraka Ila chadema sijui Kama Kuna katiba kuhusu muda wa uongozi.
 
Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana. Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao. Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025.

Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe

Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine. Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!

Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo

Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD. Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia. Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana

Wote wana ushindani mkubwa sana. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao. Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza, lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025 kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa

Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja, hawataki katiba mpya wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina

Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk

Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu. Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema.

Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Mwenyekiti wa chama anajua haya?
 
Masalia ya mwendazake mnahangaika sana

Mnafanya kila mbinu kumfitinisha mama na kumpaka matope lakini yeye ndo kwanza hana habari na nyie yuko bize kujenga nchi
nchi gani
 
Kuna maneno Samia aliyatoa wakati anahutubia juzi alipopewa taarifa ya Tume ya uchaguzi pamoja na kuwasifia; akasema, "yeye na wagombea wenzake kwa sasa watulie wafanye kazi muda wa kugombea bado".

Mwanzo nilidhani Samia hatagombea, hasa kutokana na body language yake kuonekana hawezi kuendana na kasi ya mamlaka aliyonayo, pia incompetence aliyonayo upstairs, lakini kwa kauli yake hiyo, imenifanya nianze kubadili mtazamo wangu taratibu, madaraka matamu.
Mkuu ukiona kiongozi anang'ang'ania Kiti sio anakipenda Kwa mapenzi yake Bali ni lile kundi linalonufaika Kwa Uongozi wake ndio wanaomshinkikiza Kwa gharama yeyote ile.
 
Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana. Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao. Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025.

Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe

Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine. Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!

Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo

Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD. Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia. Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana

Wote wana ushindani mkubwa sana. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao. Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza, lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025 kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa

Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja, hawataki katiba mpya wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina

Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk

Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu. Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema.

Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Sawa
 
Wasukuma ndiyo nani nchi hii? Wala msitutishe na kelele zenu. Yàani hizo kelele za Josephat Gwajima?. Rais SSH tunaye hadi 2030
Mkuu samahani mm sio Ngosha na wala siko upande ule ila nayaona yanayoratibiwa na wao. Ni suala la muda Tu nawe utagundua jambo Lao.
 
Back
Top Bottom