Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa

Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa

CCM uchaguzi wa Rais ni 2030

CHADEMA pambaneni na hali zenu!

Mkubwa, toa “CHADEMA” weka “Watanzania”. Lakini, kama ada, ukweli anao aliye Juu pekee. Dunia hii inaenda mbio sana. Hata 2025 huenda ni mbali. Kwa mfano nani alitarajia atatokea Hamza hapa Tanzania na kufanya vitu vile alivyofanya juzi. Polisi bado wanashangaa.

Bila shaka “wenye nchi” ambao kila kukicha huwacheka wananchi kwa kukosa ujasiri wa kuingia barabarani na kubaki kulalamika “mitandaoni” hawaamini kilichotokea. Hatujui modeli ya Watanzania watakaokuwepo kuanzia leo hadi 2030. Tahadhari ni muhimu.
 
Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana... Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi .. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao..Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao.. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025..

Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe
Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine...Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!

Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo

Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD... Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia... Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana

Wote wana ushindani mkubwa sana.. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao...Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana...na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza..lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025..kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa

Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja...hawataki katiba mpya...wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina
Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk

Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu...Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema...

Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Uchaguzi tusiufanye kama maisha ya kila siku. Hii ni 2021, uchaguzi uliisha 2020 tayari mna mijadala ya 2025! Hivi kazi tutafanya lini?

Tufanyeni kazina kuacha bnla bla za uchaguzi.
 
Uchaguzi tusiufanye kama maisha ya kila siku. Hii ni 2021, uchaguzi uliisha 2020 tayari mna mijadala ya 2025! Hivi kazi tutafanya lini?

Tufanyeni kazina kuacha bnla bla za uchaguzi.
Usichofahamu ni kwamba mwisho wa uchaguzi mmoja ni mwanzo wa maandalizi ya uchaguzi mwingine...uchaguzi sio dharura ni jambo mtambuka lenye michakato ya muda mrefu na maandalizi pia

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mwanamke ila niko very disappointed na nafasi hii kushikwa na mwanamke mwenzangu so far. Imeshaonekana hatuwezi kuvaa viatu hivi, ni vizito kwetu.
 
Ukiondoa tozo ambayo inakwenda kujenga zahanati vijijini, Mama Samia bado namkubali.

Miezi minne keshanitua;
-deni la milioni Saba la mkopo loan board,

-nimeshapanda daraja na Nina uhakika wa deni la mshahara nitalipwa.

-nina uhakika baada ya miaka kadhaa nitaenda ukweni Mwanza kwa treni ya umeme kwani reli keshatia hela na ambayo haikuwahi kujengwa na ambayo ilikuwa haijamalizika. Na treni Bora na kisasa ulimwenguni zinatengenezwa huko Korea.

- Mwakani mshahara utapanda.

- nina imani upungufu wa vyumba vya madarasa utakwisha.

- Kuna dogo nilikuwa najiandaa kumlipia chuo. Uzuri selection na mkopo kapata.

Kwangu mimi huyo Bwashee,Msambaa,mgosi, dishi na Mangi Mbowe watuache na MAMA
 
Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana... Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi .. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao..Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao.. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025..

Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe
Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine...Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!

Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo

Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD... Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia... Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana

Wote wana ushindani mkubwa sana.. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao...Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana...na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza..lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025..kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa

Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja...hawataki katiba mpya...wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina
Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk

Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu...Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema...

Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Mkuu mshana, najua wewe Ni kamanda kindakindaki, Sasa ebu lete mchakato wa huko ufipa ambao unaujua vizuri badala ya kuhangaika na mambo ya CCM.
Au 2025 hamko kwenye game?
 
Waziri wa fedha hatumtaki kabisa kwanza ni mnafki na kichwani ni zero licha ya kuwa na PhD.

NB:CCM nayo hatuitaki.
Sawa hamuitaki CCM Ila sijui wewe na nani, Sasa eleza mnataka chama gani? Siyo kusema tu hamuitaki CCM sema mnataka chama gani ili tuone uwezo wenu wa kuongoza.
 
Ukiondoa tozo ambayo inakwenda kujenga zahanati vijijini, Mama Samia bado namkubali.

Miezi minne keshanitua;
-deni la milioni Saba la mkopo loan board,

-nimeshapanda daraja na Nina uhakika wa deni la mshahara nitalipwa.

-nina uhakika baada ya miaka kadhaa nitaenda ukweni Mwanza kwa treni ya umeme kwani reli keshatia hela na ambayo haikuwahi kujengwa na ambayo ilikuwa haijamalizika. Na treni Bora na kisasa ulimwenguni zinatengenezwa huko Korea.

- Mwakani mshahara utapanda.

- nina imani upungufu wa vyumba vya madarasa utakwisha.

- Kuna dogo nilikuwa najiandaa kumlipia chuo. Uzuri selection na mkopo kapata.

Kwangu mimi huyo Bwashee,Msambaa,mgosi, dishi na Mangi Mbowe watuache na MAMA
Wewe akili huna umepanda daraja huku Makato yameongezeka work done equals to zero!
 
Samia hatakua na mpinzani ndani ya chama 2025 mark my words….

Mchezo wa Samia kukaa hapo alipo ulisukwa kwa ustadi mkubwa sana…

Ilikua either Samia, Asha rose au Mary Nagu….2015

Trust me Samia is there until the mission accomplished!!

Hii nchi Boys2men wanazichezea siasa zake kwa akili ya juu sana!
Macho kumchuzi hana akili hiyo,maisha yake tu yanamshinda uwezo huo hana
 
Wewe inaonyesha ni mbumbu wa katiba hii ni awamu ya sita kwa hiyo 2025 CCM anachukua form mtu mmoja tu rais aliyepo madarakani mtifuano utakuwa mwaka 2030. Soma katiba zote mbili ya CCM na ya jamhuri ya muungano. Mama hatoki mpaka awamu yake ya miaka 10 iishe
Hakuna katiba inayosema hicho ulichoandika, sio ya JMT wala ya CCM. Kwa CCM kumuacha Rais amalize kipindi cha miaka 10, ni utaratibu tu wala haumo kwenye katiba! na Katiba ya JMT inasema Rais ataongoza kwa kipindi kisichozidi miaka 10 ya vipindi viwili vya miaka 5, lakini sio lazima Rais aongoze vioindi vyote, akishindwa kwenye kipindi cha kwanza basi
 
Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana... Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi .. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao..Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao.. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025..

Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe
Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine...Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!

Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo

Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD... Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia... Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana

Wote wana ushindani mkubwa sana.. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao...Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana...na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza..lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025..kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa

Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja...hawataki katiba mpya...wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina
Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk

Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu...Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema...

Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Mkuu ccm wasiuane bule,2025 sio mwaka wao , nchi inaenda pata utawala mpya , pitia chama KINGINE nje ya CCM , wakilazimisha mie simo , ila ujumbe uwafikie Kama ulivyo , na ndivyo ilivyo, asema bwana
 
Kama wakimpiga chini Samia, namshauri mama nguvu iliyotumika kuirudisha CCM madarakani mwaka 2020, hiyo hiyo aitumie kuwapa Upinzani nchi japokuwa mimi niwana CCM
 
Back
Top Bottom