Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa


Yaani wewe ni pumbafu la mapumbafu kasome mabadiliko ya katiba ya CCM yaliyopitishwa na JPM na katibu wake mkuu Bashiru katika mkutanio mkuu MAALUNU wa CCM kipindi kile kuwadhibiti akina Membe wasichukue form uchaguzi mkuu uliopita.
 
Acha uongoo Mzee bibi mkubwa hapo kapata kwa bahati na ndiyo maana hadi sasa hivi wanamsumbua kiufupi hajasuka mfumo wake mwenyewe ndani ya chama na hata serikalin. . Siasa za ccm ni ngumu kuzielewa.

Mimi nampenda huyu mama lakin sion kama chama kitampatia nafasi tena
 
Mama alishapiga mitano yake ya mwanzo akiwa na Jiwe. Sasa anamalizia awamu ya pili alioachiwa na Jiwe. Subiri siku chache zijazo utaamini maneno yangu. Weka kumbukumbu.
Na akijifanya haeleewi watu watapita naye zianzee habari za nusu mlingoti kwenye ile nchi ya Ahadi .
 
Itakuwa umetonywa na moja ya kundi.

Na nawaona pia wapiga debe walioandaliwa na kila kundi
 
Wajuvi wanasema mzee anamuandaa mtoto wake, huyu mama washajua ni dhaifu hivyo wanamuendesha tu. Wanasema hakuna chochote anachojua
Hahahaha Mzee yupi Kuna maraisi wa nchi ya Ahadi kabla ya kufika 2025 watapumzika kwa sir God .wee usubir uoneee wale WASTAAFU na hata waliopo kwenye kitu nchi ya Ahadi Kuna umafia hasa like cha chama Chao ni balaaa
 
Watakupinga ila nahisi mimi nimekuelewa zaidi. 2015 hawakuwa na choice nguvu ya upinzani ilikuwa kubwa.
Option kama mkosi au bahati ikamuangukia ilomuangukia, akawa against na mipango yao, kila kitu akakiweka yeye anavyoona inafaa, inshort mipango yote aliivuruga. Akaweka ukuta 😂
Njia ikaanza kutetegenezwa kiitaalam.kama bahati ya mtende kale ka ugonjwa kakaja bana, ilikuwa ni bonge la bingo, all in all yule mtu ilikuwa ni lazima aondoke pale nafasi itakapopatikana

Ni wachache sana wanaoweza kuelewa hii movie.
Kwenye vita yeyote adui asijuwe madhaifu yako, akishayajua tu umekwisha.
 
Njia ikaanza kutetegenezwa kiitaalam.kama bahati ya mtende kale ka ugonjwa kakaja bana, ilikuwa ni bonge la bingo, all in all yule mtu ilikuwa ni lazima aondoke pale nafasi itakapopatikana[emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Waache wahangaike bure. Urais wa tanzania hautafutwi mtu anapewa. Kama hawaamini wamuulize lowassa. Saa hizi tunajua nani tunampa. Mwenyewe saa hizi halali anachapa kazi kuwatumikia umma.
Na wewe ni mmojawapo wa watu mnaowapa watu urais au umevuta bangi mbichi ukiwa tandale?
 
Mshana mzee wa ramli, urais 2025 inatoka fomu moja tu, anapewa Samia, ambaye atataka kupambana naye tutamshughulikia kwa utaratibu wetu wa chama tukufu, kamati ya maadili then we fck him off! Nafikiri jambo muhimu kwako la kuwaza ni nani atagombea urais kwa chama chenu mfu, Gwajima? Bashite? You guys mmepoteana vibaya mnoo
 
Nafikiri jambo muhimu kwako la kuwaza ni nani atagombea urais kwa chama chenu mfu, Gwajima? Bashite? You guys mmepoteana vibaya mnoo

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Nilicheka comment moja mdau anasema "Samia kuwa makini Mungu asije kukuona kama alivomuona Magufuli"
Kwani bwana yule unafikiri ilikuwa Mungu hata😅 ni mbinu tu za kinamna flani zilitumika kumuondosha atleast thats what my intuition says
 
Ni lazima warogane na kuwekeana sumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…