Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Niliposema vigezo, hukunielewa, huwa mara nyingi kuna taasisi kama (NVWA) lazima zije kukagua.Si ndio sababu inaaminiwa, au untaka kubisha tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliposema vigezo, hukunielewa, huwa mara nyingi kuna taasisi kama (NVWA) lazima zije kukagua.Si ndio sababu inaaminiwa, au untaka kubisha tu?
Tusipoondokana na CCM tumekwisha.Hapo bandarini Dar wanashindwaje ku-handle mzigo wa ku-export Parachichi? Yaan Parachichi litoke Njombe likasafirishwe Mombasa port?
Unaweza kuondokana na CCM, Ukajiingiza kwa ZIMWI la ajabu sana. Heri zimwi likujualo halikuli likakwisha.Tusipoondokana na CCM tumekwisha.
Tusipoondokana na CCM tumekwisha.
Unaweza kuondokana na CCM, Ukajiingiza kwa ZIMWI la ajabu sana. Heri zimwi likujualo halikuli likakwisha.
Mawazo haya mgando ndio umaskini wa mtanzania.Unaweza kuondokana na CCM, Ukajiingiza kwa ZIMWI la ajabu sana. Heri zimwi likujualo halikuli likakwisha.
Dar hakuna urasimu Bali Bandari imezidiwa na Wingi wa mizigoHapo bandarini Dar wanashindwaje ku-handle mzigo wa ku-export Parachichi? Yaan Parachichi litoke Njombe likasafirishwe Mombasa port?
Hakuna mtawala ambaye anaweza kufikili hivi mkuu wangu ndani ya taifa hili,unapoteza muda kushauri wapumbavu.Hivi kuna ubaya gani, kwa kuwa uhitaji wao ni 1 billion US dollar, hawana ardhi huko hayalimiki, serekali mbili ziongee, tuwape eneo, tulime in joint kwa kukusanya wakulima wadogo, ili dollar bilion moja zote zije Tanzania.
Dollar 1 billion = 2trillion na ushee!
Niliposema vigezo, hukunielewa, huwa mara nyingi kuna taasisi kama (NVWA) lazima zije kukagua.
Tumewachia nchi yao wanaopendwa kuombwa na kuelekezwa hawapendi amri!Wabongo hawawezi kubadilika. Tumezoea kufanya kazi kwa mazoea, kizembe, kifisadi, kibabaishaji na bila kuwajibika; kwa hatuwezi kujifunza na kubadilika.
Kabisa, ni kampuni ya wahuni wa humu humu ndani. Ni mambo ya ile kampuni ya Richmond kuwa iko US, kufuatiliwa hata ofisi haina huko!DPW hawakuja kwaajili ya kuboresha huduma. Ule ulikuwa ni mkakati wa watu wa humu humu ndani kujimilikisha bandari. Ndiyo maana kwenye deal yote, in the forefront unamwona Romstam na Aldub.
Hao wazungu hawataki kuwekeza kwenye nchi ambazo sera za nchi zinabadilika muda wowote kutokana na utashi wa rais aliye madarani. Maana hakawii kuingia rais akajifanya mzalendo na kuanza kusema ardhi yetu imechezewa sana na mabeberu. Rejea uhuni wa dhalimu magu kwenye mashamba ya maua.Hivi kuna ubaya gani, kwa kuwa uhitaji wao ni 1 billion US dollar, hawana ardhi huko hayalimiki, serekali mbili ziongee, tuwape eneo, tulime in joint kwa kukusanya wakulima wadogo, ili dollar bilion moja zote zije Tanzania.
Dollar 1 billion = 2trillion na ushee!
Mnaoamini DP World ni kampuni ya nje, mkapimwe mkojo.Hii DP imekuja kuifufua bandari au kuiangamiza kabisa.
Ya ZanzibarHivi wale watafiti wa mchongo walio sema kwamba Tanzania ndio itaongoza kiuchumi Afrika mashariki kufikia 2030 walikua wamevuta bangi ya wapi🤔🤔