Urasimu Bandari ya Dar, wafanyabiashara wa Parachichi wakimbilia Mombasa

Urasimu Bandari ya Dar, wafanyabiashara wa Parachichi wakimbilia Mombasa

Hapo bandarini Dar wanashindwaje ku-handle mzigo wa ku-export Parachichi? Yaan Parachichi litoke Njombe likasafirishwe Mombasa port?
Parachichi zinazo pita Mombasa, ni za wafanya biashara wa Kenya. Huzi nunua Tanzania na kuziweka label ya produce from Kenya.
 
Hivi kuna ubaya gani, kwa kuwa uhitaji wao ni 1 billion US dollar, hawana ardhi huko hayalimiki, serekali mbili ziongee, tuwape eneo, tulime in joint kwa kukusanya wakulima wadogo, ili dollar bilion moja zote zije Tanzania.
Dollar 1 billion = 2trillion na ushee!
Hizo kazi zinafanywa na Mawaziri wenye akili,sasa awa Wakina January, Mwigulu,Bashe na Ashantu akili kubwa kama hizi wazitoe wapi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Hao wazungu hawataki kuwekeza kwenye nchi ambazo sera za nchi zinabadilika muda wowote kutokana na utashi wa rais aliye madarani. Maana hakawii kuingia rais akajifanya mzalendo na kuanza kusema ardhi yetu imechezewa sana na mabeberu. Rejea uhuni wa dhalimu magu kwenye mashamba ya maua.
 
Perishable good vs ports/harbour, serekali isaidie hapa tunayo ndege, atcl kitengo cha marketing mpo wapi?, mna arange kitu gani kusaidia wafanyabiashara wa Perishable goods, hata safari moja tu kwa mwezi ya kimkakati.
Netherland imegeuka kama hub ya soko la parachichi kwa nchi jirani, hivyo importation ya parachichi hapo Holland huwa 1 billion US Dollars per annum, wanayapenda na hali zao haziruhusu kuyalima, hapo ndipo patamu, how serekali yetu ikienda kufunga mkataba wa kibiashara kusaidia wakulima wetu!
#Market review!

Hapo ndio umeshawatonya kama kuna dili Holland, sasa baadala ya wao kuwaza kuwasaidia wafanyabiashara watanzania na watanzania baadala yake watatafuta namna ya kuhodhi hiyo biashara kwa kuwatumia ndugu zao na facilitity za umma kama shirika la ndege.
 
Bandari fanyen kazi. Acheni kukwamisha raia wenzenu. Wasio na uwezo wa kutoa peSa za wazee
 
Hapa hii taarifa ina ukakasi kidogo..

Bandari wawe na cold room kwa ajili ya Parachichi kutoka Njombe! How? Kwani zimetoka vipi Njombe hadi Dar Port?

Kuna container special zinazotunza baridi kwa ajili ya bidhaa za kuharibika. Hizo container wako nazo shipping line. Ukishapata container unaenda weka mzigo wako na shughuli za usafirishaji zinaendelea.

Na kawaida iwe import au export lazima mambo ya documentation yaanze kabla ya process nzima kuanza. Lazima uhakikishe documents zipo Sawa na permit zote zipo.

Bandari sio store ya mizigo, waweke cold rooms za nini wakati kuna special containers kwa kazi hiyo?

Cold rooms zipo airport huko maana hawana special units za kuwekea hiyo mizigo ambayo ni rahisi kuharibika.
 
Back
Top Bottom