Pre GE2025 Urathi wa siasa za 2024: Lissu ameukata mti (CHADEMA) halafu anataka aukwee wakati tayari umedondoka chini

Pre GE2025 Urathi wa siasa za 2024: Lissu ameukata mti (CHADEMA) halafu anataka aukwee wakati tayari umedondoka chini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Huu mwaka utakumbukwa has a kwa tukio la makosa ya kisiasa aliyofanya Tundu Lissu.

Kosa hilo ni kuibomoa kabisa taasisi kisha anatarajia akalale humo. Hatapata pa kulala kwa kuwa jengo amelibomoa. Lissu amekata mti, baada ya kuukata, sasa anasema anataka aukwee mti huo.

Hii ni moja kati ya blunder kubwa kabisa ya kisiasa kwa takribani miaka 20 iliyopita, ambayo pia inamtafuna Lissu kuanzia miguuni, na sasa iko ngazi ya kiuno.

Mfumo wa siasa za Lissu ni sawa na mfumo wa kujenga nyumba kwa tofali za barafu. Akinasa kwenye joto anayeyuka na kukimbilia baharini, ambako atapotea kabisa kwa kuwa itakuwa ngumu kutofautisha maji ya bahari na barafu iliyoyeyuka.

Kilichobaki ni kumpigia akiwa baharini, maana huko hata sauti haitatoka, Samaki wenye meno makali watakuwa wananyofoa vipande vya nyama wakifaidi utamu wa maamuzi ya hovyo ya kisiasa.

Hata kama akirudi, atakuwa si Lissu yule, kwa kuwa sasa kila upande atakuwa kazungukwa na watu wanaosubiri kumsukuma ateleze. Baadhi atabaki nao akiamini ni wake, lakini wako pale kusubiri kumpiga dafrau, blackmail, uzandiki, na kila aina ya michezo michafu ya kisiasa.

Amepasua mtumbwi katikati ya bahari halafu anajiaminisha kwamba mtumbwi uko salama. Maji yameingia (Msigwa na Dk Slaa) pamoja na watu wa mfumo ambao alikuwa akiwatusi mchana na usiku.

Ni zamu yao kumuhenyesha mpaka macho yamtoke pima. Wata -infilitrate mambo yake yote kwa kuwa robo tatu ya taasisi ya chadema haimuamini, wako pale kumtega miba.

Ni mwanzo wa mwisho? Ndio, kila zama na kitabu chake, tumefunga kitabu cha James Mapalala, Kasanga Tumbo, Mti kila, Lamwai, Mbatia, Lipumba.

Naona kijana anamalizia kusoma kurasa za mwisho, kwa mafikara makubwa anataka kulifunga kava gumu la kitabu cha Ziwa Kindai.
 
Huu mwaka utakumbukwa has a kwa tukio la makosa ya kisiasa aliyofanya Tundu Lissu.

Kosa hilo ni kuibomoa kabisa taasisi kisha anatarajia akalale humo. Hatapata pa kulala kwa kuwa jengo amelibomoa. Lissu amekata mti, baada ya kuulata, sasa anasema anataka aukwee mti huo.

Hii ni moja kati ya blunder kubwa kabisa ya kisiasa kwa takribani miaka 20 iliyopita, ambayo pia inamtafuna Lissu kuanzia miguuni, na sasa iko ngazi ya kiuno.

Mfumo wa siasa za Lissu ni sawa na mfumo wa kujenga nyumba kwa tofali za barafu. Akinasa kwenye joto anayeyula na kukimbilia baharini, ambako atapotea kabisa kwa kuwa itakuwa ngumo kutofautisha maji ya bahari na yaliyoyeyuka.

Kilichobaki ni kumpigia akiwa baharini, maana huko hata sauti haitatoka. Samaki wenye meno makali watakuwa wanayofoa vipande vya nyama wakifaidi utamu wa maamuzi ya hovyo ya kisiasa.

Hata kama akirudi, atakuwa si Lissu yule, kwa kuwa sasa kila upande atakuwa kazungukwa na watu wanaosubiri kumsukuma athlete. Baadhi atabaki nap akiamini ni wake, lakini wako pale kusubiri kumoiga dafrau.

Amepasua mtumbwi katikati ya bahari halafu anajiaminisha kwamba mtumbwi uko salama. Maji yameingia (Msigwa na Dk Slaa) pamoja na watu wa mfumo ambao alikuwa akiwatusi mchana na usiku. Ni zamu yao kumuhenyesha mpaka macho yamtoke pima. Wata -infilitrate mambo yake yote kwa kuwa robo tatu ya taasisi haimuamini.

Ni mwanzo wa mwisho? Ndio, kila zama na kitabu chake, tumefunga kitabu cha James Mapalala, Kasanga Tumbo, Mti kila, Lamwai, Mbatia, Lipumba.

Naona kijana anamalizia kusoma kurasa za mwisho, kwa mafikara makubwa anataka kulifunga kava gumu la kitabu cha Kindai.
Mnatumia nguvu nyingi sana kumchafua bwana Antipas... na hii inathihilisha kwamba CDM hakuna demkrasia ambayo mnajifanya mnaipigania....
 
Huu mwaka utakumbukwa has a kwa tukio la makosa ya kisiasa aliyofanya Tundu Lissu.

Kosa hilo ni kuibomoa kabisa taasisi kisha anatarajia akalale humo. Hatapata pa kulala kwa kuwa jengo amelibomoa. Lissu amekata mti, baada ya kuukata, sasa anasema anataka aukwee mti huo.

Hii ni moja kati ya blunder kubwa kabisa ya kisiasa kwa takribani miaka 20 iliyopita, ambayo pia inamtafuna Lissu kuanzia miguuni, na sasa iko ngazi ya kiuno.

Mfumo wa siasa za Lissu ni sawa na mfumo wa kujenga nyumba kwa tofali za barafu. Akinasa kwenye joto anayeyuka na kukimbilia baharini, ambako atapotea kabisa kwa kuwa itakuwa ngumu kutofautisha maji ya bahari na barafu iliyoyeyuka.

Kilichobaki ni kumpigia akiwa baharini, maana huko hata sauti haitatoka, Samaki wenye meno makali watakuwa wananyofoa vipande vya nyama wakifaidi utamu wa maamuzi ya hovyo ya kisiasa.

Hata kama akirudi, atakuwa si Lissu yule, kwa kuwa sasa kila upande atakuwa kazungukwa na watu wanaosubiri kumsukuma ateleze. Baadhi atabaki nao akiamini ni wake, lakini wako pale kusubiri kumpiga dafrau, blackmail, uzandiki, na kila aina ya michezo michafu ya kisiasa.

Amepasua mtumbwi katikati ya bahari halafu anajiaminisha kwamba mtumbwi uko salama. Maji yameingia (Msigwa na Dk Slaa) pamoja na watu wa mfumo ambao alikuwa akiwatusi mchana na usiku.

Ni zamu yao kumuhenyesha mpaka macho yamtoke pima. Wata -infilitrate mambo yake yote kwa kuwa robo tatu ya taasisi ya chadema haimuamini, wako pale kumtega miba.

Ni mwanzo wa mwisho? Ndio, kila zama na kitabu chake, tumefunga kitabu cha James Mapalala, Kasanga Tumbo, Mti kila, Lamwai, Mbatia, Lipumba.

Naona kijana anamalizia kusoma kurasa za mwisho, kwa mafikara makubwa anataka kulifunga kava gumu la kitabu cha Ziwa Kindai.
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini lissu anaibomoa chadema badala ya mbowe, mtu kakaa madarakani miaka 20+ Bado anaendelea kugombea, mtu hajakaa hata mwaka mmoja kutangaza Nia kakosea kivip? Chadema ijitafakari Kwa nn inapigania mabadiliko? Bila hivo Bora ccm iendelee kuongoza nchi yetu
 
Back
Top Bottom