Urembo ulionishinda mimi.....



alafu siku nyingne mje na nyuzi kuwa kwann wanawake wasasa hv hawavai kyupi!!!!!! ahahha mtahitimisha kuwa ni m.a.l.a.y.a!tuache tu mkuu tujivundike na makyupi yetu kuzui tetemente!
 
Original nenda kwenye malls au maduka makubwa.Pia usipende sana kusuka mitindo hizo dreads wacha zitulie zipate nguvu na nywele mpya imee bila kusukwa.Pia usipake bleach kwanza mpaka ziache kukatika.
Oooh zina bleach tayari kwenye ncha
 
Sawa natural "gd" unitafute though

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app

Dogo we ndo unaitwa mgodi?? Mama yangu weee angalia usije maliza mtaji wa magari hahaaaa
 
Yaani wewe upo kama mimi namba 2,3,4 na 5 vyote vilinishinda
kupaka Angel face n fundition vyote hivyo vimenishinda.

jaribu kutumia mafuta ya nazi lakini upike mwenyewe kama unajua.Ni mazuri sana kwa nywele za asali.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Nilijaribu kupaka minara kichwani nikapata kama vile mba, ni ngozi ilikua inatoka
 
Mke si ndio uyu bhna

Low cost + uelewa +ability ya kujizuia kitu = Uyu anajitambua

Sent from my SM-N9200 using JamiiForums mobile app
 
Mimi kupaka lipstick na kuvaa suruali siviwezi

anything you lose from being honest, you never really had to begin with.
Lipstick napaka kiasi ila dakika 20 ni nyingi yote imefutika sijui huwa nalamba hata sielewi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani eti kutikisa mgongo

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
1.Kuweka nywele dawa,
2.kuvaa cheni,
3.kupakaa mafuta makali,
4.kupakaa poda,wanja,
5.kufanya scrabu

Nimeshindwa labda na imani imechangia.


Sent from my SHV-E250S using JamiiForums mobile app
Hadi scrub we umenizidi teh
 


hata zenye dawa mie nina mwaka nimehamia huku ya asili nywele inakuwa nzitoo na nyeusi! alafu hakuna suala la mba! sio radiant ilinishnda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…