Urembo ulionishinda mimi.....

Urembo ulionishinda mimi.....

Mweeee jamani si wote mby wanajichubua japo ni wengi.na shida hatutaki kujikubali maana wengi tu weusi ss tutapakaje wanja na kutinda nyusi ndio mana tunajichubua.ss michubuo hiyo ikikutana na jili baridi ndio tunakuwa wakijani maana si pinki tena.

Sent from my SHV-E250S using JamiiForums mobile app
 
ndio wanaume ndio wanachora.
Amnaa kwa hili paja langu hawezi hata kupindisha mstari, maana ni bovu[emoji23][emoji23], huwaga wanachora wakina Tunda watoto weupee,akina masogange
mimi ni nani hata nikampandishe mori[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]paja limejaa michirizi

Sent From my C5 wereva
Hahahahahahahahahaaaaaaa yaani kicheko nilichocheka sitocheka tena hadi jioni... Sasa utapingana na tafiti zangu kwamba mwanamke hata awe mbaya sehemu zote mwilini mwake ila unapokuja ktk paja kuna kitu anakirimiwa... Kuna zile asilimia 0.001 za kundi hili ambao kunakuwa na vimichirizi ila stili paja ukilishika lina mambo yake kunako antena za kiume.... Ila wanasemaga wachoraji wengi ni wanaume wa kwenye kideo.....Hahahahahahahaaaaaaaa
 
Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....

1: kupaka wanja kwenye nyusi

Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.

2: kuvaa wig/kushonea weaving

Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.

3: kubandika kucha

Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.

4: kubandika kope

Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya

5: kupaka cream/kujichubua

Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....

Wewe huwezi nini?

Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
1.Kuweka nywele dawa,
2.kuvaa cheni,
3.kupakaa mafuta makali,
4.kupakaa poda,wanja,
5.kufanya scrabu

Nimeshindwa labda na imani imechangia.


Sent from my SHV-E250S using JamiiForums mobile app
 
mimi pia nazipenda...

ipo siku ntaanzisha Daftari la wapiga kura kwenye Paja moja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watu muhimu wote... siku nikipotea wanirudishe kwetu

Sent From my C5 wereva
Naomba unikumbuke
 
Kuna binamu yangu huwa anachora wanja unatokea kwenye nyusi unakaribia kugusa sikio, mwenyewe anauita "hawara mshenzi" huwa nacheka mno
Duuuuuh!!!!! Huku kwenye wanja nako sijui ni kujitoa ufahamu, mtu kajipaka wanja utafikiri kapaka rangi za nyumba??? Mfano uswazi ndio kwenye wanja na majina kama hayo...Yaani kuna kang'tangaze, kiboko yako, mme mwenzetu, n.k na wahusika wakiona wanajua kabisa huu ujumbe wangu....Usiulize nimejuaje,,,Hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa
toa
 
Nahc kwa jinsi ulivyo ukiweka na hayo makorokoro unaeza fanana na shumileta
 
Duuuuuh!!!!! Huku kwenye wanja nako sijui ni kujitoa ufahamu, mtu kajipaka wanja utafikiri kapaka rangi za nyumba??? Mfano uswazi ndio kwenye wanja na majina kama hayo...Yaani kuna kang'tangaze, kiboko yako, mme mwenzetu, n.k na wahusika wakiona wanajua kabisa huu ujumbe wangu....Usiulize nimejuaje,,,Hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa
toa
Tuna terminology zetu Kwamtogole wa usuani hamzinyaki
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unanichekesha, vyoteee sijawahi jaribu isipokuws kubandika kucha, sasa basi nikitembea maana nilibandika za miguuu nakuwa km navidonda miguuni, natembea nikichechemea kila muda najikwaa jingine zinabanduka?!!! Khaa sina hamu Nazo tenaa
 
hahahah hayo na mm huwa nachoka! unavaa jeanz then unajikaba tena na mskin tyt kha wann! mie kiujumla toka nmemaliaza o level sijui neno skintyt hzo fup za kuvalia ndani(nakumbuka wakat ule ilikua ni bonge ya fashion)! argh! uzito tup! ukwel inakera mwingne anavaa tite na underskate!
Kuna nyakati nyingine mwanamke hata chupi haina mpango kabisa kuvaa. Mimi kuna demu namfahamu huwa tunakutana nae sana Nairo kwa miaka sijawahi ona kavaa kyupi, hata kama kavaa mini sketi, anadai anapea mbili za kuvaa wakati wa mvua nyekudu tu, na ukimuona kavalia nguo zake wala huwezi jua mpaka uwe mtu wake wa karibu, tena ako na mwili wake wa haja kabisa. Kyupi tuachieni sisi wanaume kwaajili ya kuzuia na ku kotrol magobore yanapo shtuka na kuamka.
 
Kuna nyakati nyingine mwanamke hata chupi haina mpango kabisa kuvaa. Mimi kuna demu namfahamu huwa tunakutana nae sana Nairo kwa miaka sijawahi ona kavaa kyupi, hata kama kavaa mini sketi, anadai anapea mbili za kuvaa wakati wa mvua nyekudu tu, na ukimuona kavalia nguo zake wala huwezi jua mpaka uwe mtu wake wa karibu, tena ako na mwili wake wa haja kabisa. Kyupi tuachieni sisi wanaume kwaajili ya kuzuia na ku kotrol magobore yanapo shtuka na kuamka.
Hiyo sasa ni walking vending mashine
 
Back
Top Bottom