Urembo ulionishinda mimi.....

Urembo ulionishinda mimi.....

Teh hujawahi kuona mtu kavaa heels afu hajui kuzitembelea ha ha ha ha magoti yanatangulia mbele kama mosheni flani hivi ya masanja mkandamizaji
Hahahah!, kwa kweli heels ni urembo mzuri na tuzipende tu lakini shughuli yake si ndogo.
Halafu ukute zimekubana na zinauma kwenye vidole, asee mbona utatamani kutambaa barabarani?!, ndo maana na prefer wedges, zenyewe ziko poa hata kama mtu mzito.

espy Heaven Sent mrs air
 
Hahahah!, kwa kweli heels ni urembo mzuri na tuzipende tu lakini shughuli yake si ndogo.
Halafu ukute zimekubana na zinauma kwenye vidole, asee mbona utatamani kutambaa barabarani?!, ndo maana na prefer wedges, zenyewe ziko poa hata kama mtu mzito.

espy Heaven Sent mrs air


hahahaha mie nimeacha kuvaa high heels! nimegain wait bas nakua nahis kisigino kinashake nw navaa midheels tu! ktk vitu vilivyonishinda ni wedges! huez amin huwa naanguka had chini! hahaha!nimegawa sitak kuumia mie!
 
Kunyoa nyusi na kuchora zangu! Na zaida sana ni kuvaaa wigi la kilo 25KG kichwani kwangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kumbe na wewe ni demu

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Unakutana na mtoto wa kike kuanzia Kucha feki, Kalio feki, Nywele feki,kope feki,rangi feki...hadi tabia fakeeeee!!
Basi anavyo hangaika na hizo nywele zake utadhani mti unao zongwa na Upepo.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mi nimeshindwa kubandika kucha hua naona wanapendeza but mim hapana na sijawah jaribu,,
Kubandika kope siwezi na sitoweza kamwe naheshimu mno macho yangu,,
Wanja lazima nipake machoni na kwenye nyusi kwa mbali unakuwa kama wanja wa lulu hivi sio ule wa wahenga,,na nimenunua ile consela sijui cansela mtanikomaaa
Make up sijawah mi ni poda ya baby johnson
Kujichubua siwezi kabisa,,,rangi niliyonayo inatosha
Kuvaa wigi hapana,labda kushonea yale mafupi na yenyewe labda sijui itokee nin
Napenda nilivyo najiona mzuri tu bila hayo mengine
Kuvaa viatu virefu siwezi kabisa
Kwa watu weusi inabidi ujue namna ya kujipaka la sivyoo utatisha


Wengine mseme ukweli sio kuiga tu wakati mmeshajibua weee mnatishaa
Kila urembo hauwapiti,iwe kucha feki,kope,wigi ndio zenu
 
Hizo heels mvaage tu kwakweli.


Teh!, Inabidi kufanyia mazoezi kwanza.
Alinifundishaga aunt yangu, alikuwa akinunua heels anazivaa ndani kwanza kama a week or two ku make sure amezizoea vizuri, then ndo anatoka nazo nje kwenye kadamnasi.
Ni kweli bwana ukizizoea vizuri ndani hazikupi shida sana nje, kuliko kuziingia mazima.
 
hahahaha mie nimeacha kuvaa high heels! nimegain wait bas nakua nahis kisigino kinashake nw navaa midheels tu! ktk vitu vilivyonishinda ni wedges! huez amin huwa naanguka had chini! hahaha!nimegawa sitak kuumia mie!


Halafu wewe wa pili humu nakusikia unasema huwezi wedges na mwenzako Heaven Sent
Mbona naona kama ndio most comfortable heels ever!, kama viatu vya kuzurulia.
 
Halafu wewe wa pili humu nakusikia unasema huwezi wedges na mwenzako Heaven Sent
Mbona naona kama ndio most comfortable heels ever!, kama viatu vya kuzurulia.



uwiiiii yaan haipit dk 2 nimetenguka mguu kuna siku vilinipeleka chin kbs! nikagive up!kwakwel nashindwa elewa shida iko wap maana ile base yake iko poa sana !hahaha una raha nakutamania!
bdw umewah viona viatu anavyovaa mke wa Shein wa zenji?
 
uwiiiii yaan haipit dk 2 nimetenguka mguu kuna siku vilinipeleka chin kbs! nikagive up!kwakwel nashindwa eewa shida iko wap maana ike base yake iko poa sana !hahaha una raha nakutamania!
bdw umewah viona viatu anavyovaa mke wa Shein wa zenji?


Si ndio uzuri wa wedges, base yake iko poa sana halafu hata juu napenda vilivyo wazi na kufanya viwe poa zaidi. Viatu vya mke wa Shein vikoje?

Mtu aliyekuwa ananikosha asee alikuwa mama Salma Kikwete, nilikuwa simmalizi na heels zake halafu sasa anavyojua kuzitembelea..
 
Teh!, Inabidi kufanyia mazoezi kwanza.
Alinifundishaga aunt yangu, alikuwa akinunua heels anazivaa ndani kwanza kama a week or two ku make sure amezizoea vizuri, then ndo anatoka nazo nje kwenye kadamnasi.
Ni kweli bwana ukizizoea vizuri ndani hazikupi shida sana nje, kuliko kuziingia mazima.
My dear mie hapana hizo habari kwakweli, wedges zinatosha.
I tried nikaona ni mateso tu, alafu najiona kama ngongoti!!
 
Ha ha ha

nimecheka sana madame daah, maana nimevuta ile taswira ya baadhi ya wadada wanavyokua, kama yule wa juzi video yake akiwa katika mahafari ilisambaa
Kuna mmoja jana nmemuona kavaa viatu virefu nikajikuta nacheka tu huo mwendo
 
Back
Top Bottom