BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Mbona mnawachanganya wadada.....
Mara wavae
Mara fumigation. ...
Mara wavae
Mara fumigation. ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo hapo..!!labda ungeleta na picha ya huyo uliyemkuta na shanga 10 kiunoni na sie tushuhudie....au ni habari ya kufikirika
Nashindwa kupata picha zitavyonasa kwenye v (labda sijui v ulimaanisha nini)Shanga kumi mmh zikinasa v hayo mayowe atakayopiga
Kifupi coni raha yake japo wengi uzizifia mno asa guy ukuta mwingine anakuuliza eti unashanga jaman hii nilishuudia kwa macho yangu nikiwa kwenye daladala nikitokaea magomeni kwenda mikocheni kuna sehem kuna mama akitokea siti ya mwisho kwenda mbele ili asuke bc izo shanga zilipanda juu kibao mingine mikubwa zilizochanganyika lkn nilikuwa chafu mno bc wamama wakaanza kugomba mno juu ya ile aibu binafsi coni raha ya kuwa na shanga nyingi kiunoni
VoooooooNashindwa kupata picha zitavyonasa kwenye v (labda sijui v ulimaanisha nini)
hiyo hapo..!!
naaaammmhiyo hapo..!!
Vooooooo
mbona picha haijakamilika? kuba baadhi ya viungo sivioni,viungo mapachahiyo hapo..!!
tena mtiani wenyewe hisabati,maana simchezoHii ni kwaajili ya photoshoot tu... kuvaa huo mzigo kuzunguka nao 24hrs ni mtiani
Haya bwana nimeshindwa kukupata, kwaheriVooooooo
Mwambie tu...ni zivu