Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

sijawahi kufundishwa
mi nadhani nachojua ni kimoja tu so far ukiolewa lazima uwe nazo

hhahhah matumizi sijui ila kwa kiswahili kidogoo nasikiaga wadau wakisema ukivaa shanga ujue kukata
DSC_0814.jpg
Waziri+Mkuu
images
ushanga.jpg
images
wa+kisuuuuuuuuuuuuuu.jpg
Kelis_JMcCarth_7253952.jpg


  1. Hapa ni taswira za shanga miguuni, shingoni na mikononi
  2. Kuna taswira nyingi tu za shanga kiunoni kimaadili siwezi kuweka hapa vinginevyo pasingetosha kabisa

Waafrika hasa wabantu akina mama tamaduni nyingi kimapokea huvaa shanga. Wasiovaa ni wale wa born city wanaosujudu tamaduni za kizungu, lakini wanaopenda kudumisha mapokea hupendelea kuvaa.

Iwapo wanawake wanajisikia vizuri kuvaa heleni na sidiria vitu vya kuiga toka kwa wazungu, kuna shida gani wanapojisikia vizuri kuvaa shanga, tena wanaume au wapenzi/waume zao wanaposikia kheri kuwaona wamevaa shanga?

 
Shanga zinaongeza mshawasha wa kufanya ngono...mwanaume anapochezea shanga hena tofaut na kuslap makalio..mwanamke husikia raha
 
sasa ili uenjoy zaidi nunua uvae mwenyewe kwa kiuno chako

Duh,hii kweli chiboko. Mkuu hapo ni sawa na kuniambia nijitekenye halafu nicheke,kitu ambacho hakiwezekani.
Kupenda ama kusifia vazi au pambo la kike haina maana utumie wewe ili upende zaidi!!!!!!!!!
 
mm nikiona tabasamu tu moyo unafurah sana.
Mkuu mimi ndio huwa kama zuzu vile,ukute mwanamke kiuno mashalaa ukichanganya na shanga basi huo mhemuko utakaonipata hauelezeki.Kwa hali hiyo kwanini nisipitilize kituo teh teh teh?
 
raha ya shanga ukivaaa kiuno ujue kukata
kati ya hiz za kawaida na gold/silver ipi inakuvutia or nyegggesha?
Mkuu mimi napenda sana hizi za kawaida zile ndogondogo.Ni pm basi angalau kapicha kamoja mkuu.
 
DSC_0814.jpg
Waziri+Mkuu
images
ushanga.jpg
images
wa+kisuuuuuuuuuuuuuu.jpg
Kelis_JMcCarth_7253952.jpg


  1. Hapa ni taswira za shanga miguuni, shingoni na mikononi
  2. Kuna taswira nyingi tu za shanga kiunoni kimaadili siwezi kuweka hapa vinginevyo pasingetosha kabisa

Waafrika hasa wabantu akina mama tamaduni nyingi kimapokea huvaa shanga. Wasiovaa ni wale wa born city wanaosujudu tamaduni za kizungu, lakini wanaopenda kudumisha mapokea hupendelea kuvaa.

Iwapo wanawake wanajisikia vizuri kuvaa heleni na sidiria vitu vya kuiga toka kwa wazungu, kuna shida gani wanapojisikia vizuri kuvaa shanga, tena wanaume au wapenzi/waume zao wanaposikia kheri kuwaona wamevaa shanga?
Mkuu naomba uni pm zilizovaliwa kiunoni kama hapa itakuwa haifai.
 
Leo nimepanda daladala nikakaa siti za katikati,mara akaja mdada wa watu akakaa siti iliyokuwa mbele yangu.Alipofika kwenye kituo alichopaswa kushuka si akasimama ili ashuke,basi ile blauzi ilipanda juu kidogo na kuzifanya chachandu zake zionekane, aisee kila nikikumbuka kiuno kile cheupe kilichozungushiwa shanga zenye kupangiliwa rangi nahisi msisimko wa ajabu.
 
Leo nimepanda daladala nikakaa siti za katikati,mara akaja mdada wa watu akakaa siti iliyokuwa mbele yangu.Alipofika kwenye kituo alichopaswa kushuka si akasimama ili ashuke,basi ile blauzi ilipanda juu kidogo na kuzifanya chachandu zake zionekane, aisee kila nikikumbuka kiuno kile cheupe kilichozungushiwa shanga zenye kupangiliwa rangi nahisi msisimko wa ajabu.

Pole kaka, nisamehe kwa kukutia wahka.
 
Habari zenu wana MMU?

Hivi unakutana na mdada kavaaaaa shangaa kiunoni zaidi ya kumi au ishirini tena zile za kienyeji,huo mzigo wake si mchezo.Kwa mpango huo ni muhimu kabisa mkafanya usafi wa kuua viji dudu kama kunguni,chawa,utitiri ili muendelee kura raha.

Ukikutana na mdada wa hivyo fumigation ina muhusu kwa afya zenu lakini.
 
Back
Top Bottom