Napenda Wife Avae Ila Naogopa Nitamwanzaje Mana Swali Litakuja!! Je Uliona Wapi Na Nani Kavaa?,
Napenda Wife Avae Ila Naogopa Nitamwanzaje Mana Swali Litakuja!! Je Uliona Wapi Na Nani Kavaa?,
Napenda Wife Avae Ila Naogopa Nitamwanzaje Mana Swali Litakuja!! Je Uliona Wapi Na Nani Kavaa?,
Nimecheka sana. Mii nlikuja na style mpya kutoka safarini, nikaulizwa: hii nayo ilikuwepo ktk training huko? Kilichofuata sasa!
Mkuu usisubutu kamwambia shem! Tafuta jarida au gazeti lenye hiyo mada, kaa msome ote!
Napenda Wife Avae Ila Naogopa Nitamwanzaje Mana Swali Litakuja!! Je Uliona Wapi Na Nani Kavaa?,
Duu siku hiz umeshakua aisee mpk umeshaoa
pole sana ...umechanganywa na mabadiliko...mwambie asivae tena....Salaam kwenu wanaJF wote popote mlipo. Amani iwe NANYI.
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takribani miaka mitatu(3) sasa na msichana ambaye awali alikuwa yupo chuoni ila kwa sasa ni mfanyakazi taasisi fulani hivi (jina kapuni). Amepangiwa nje ya MKOA wa DAR nilipo.
Tulipoanza mahusiano haya hakuwahi kunionyesha anayonionesha hivi sasa.
Amekuwa akipost pictures mbalimbali akiwa amevaa ''vimini'' na ''vishanga (vikuku)'' mguuni.
Nimejaribu kumuuliza nini MANTIKI ya hizo picha, kanijibu eti "...mbona kawaida tu,..
NIPO SO FRUSTRATED; ISIJE IKAWA KAANZA KALE KATABIA... MAANA NILISHA MTAMBULISHA KWA BAADHI YA NDUGU.
pole sana ...umechanganywa na mabadiliko...mwambie asivae tena....
Ukiona mwanamke anajianika sana ujue kashaliwa huyo tayar!!
Lakini kwa Baadhi ya Wanawake Huo Ni Urembo na Haumaanishi Hilo ambalo umeliwaza Mkuu... Mbona Humu ndani Kuna Wadada Wengi wanavaa na Hawapo katika Hicho unachowaza?