kitabakilo
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 319
- 570
Anapost wapi hzo picha nimuone kwanza araf nikushauri jambo zuri hta mm wangu alianza hvyo hvyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona mwanamke anajianika sana ujue kashaliwa huyo tayar!!
Tayali wajanja wameshatoboa ozone layer, so jiandae na Cabon dioxide
Bro samahani, umejiunga na kifurushi gani cha JF kinachokupa hiyo access? Hebu share basi.
Mwambie ukweli mkuu Kashaliwa 0717..Ukiona mwanamke anajianika sana ujue kashaliwa huyo tayar!!
Uko vyema sana brother. Mi nimeijua hii mitaa toka February, ila sijakutana na mtu. Hizo tutorials za maujanja yako tuna-download wapi? Inabidi utugawie hizo mbinu na sisi.uzoefu wangu wa kukutana na Members wa kike wa Hili Jukwaa Pendwa Kumenifanya niwajue Wavaa Vikuku.
Hivyo vikuku anavaa Mguu mmoja wa kushoto, au miguu yote ? Jibu nikupe ushauri...
Ukiona manyoya.....
Vikuku ni urembo tu heee
Lakini kwa Baadhi ya Wanawake Huo Ni Urembo na Haumaanishi Hilo ambalo umeliwaza Mkuu... Mbona Humu ndani Kuna Wadada Wengi wanavaa na Hawapo katika Hicho unachowaza?