Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Mimi navutiwa na mtu (mwanamke) jinsi alivyo na sio na alivyo navyo, as shanga, mkufu nk.
Historia ya shanga ina vimelea vya ushirikina, dem wangu akivaa ndo mwisho wa mahusiano
...yani wewe ni MSHAMBA Mshirikina!
...Period!
 
Kila mtu ni mshamba maeneo flani, kwa hilo nakubaliana nalo kuwa mshamba, nawe kwenye angle zangu ni mshamba tuuu
...teh teh teh ...sasa mbona washupaza shingo kishamba kwa ushamba wako wakati wajijua u-MSHAMBA!??
....mi ni "mshamba tuuu" kwenye yale mambo yenu ya vibao kata!
 
...teh teh teh ...sasa mbona washupaza shingo kishamba kwa ushamba wako wakati wajijua u-MSHAMBA!??
....mi ni "mshamba tuuu" kwenye yale mambo yenu ya vibao kata!
So wajiona mjanja kwa kupenda shanga au!
 
I like it so much. I love mwanamke mwenye shanga hamna mfano,ila innshu ya UKIMWI nnaitilia maanani na by the way nothing is new kwa mwanamke,mengine twafundishana,papuchi in zile zile.
 
Mimi mwenyewe matumizi ya shanga hasa siyajui ila nikikutana na mwanamke mwenye shanga napagawa ile balaaaa..
 
Duh huyu akitaka kunywa maji vipii? Nacho kitakunywa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…