Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

NAPENDA KUWASHURU WANA JF WOTE KWA SHAURI ZENU NZURI ZA KUIMARUSHA AKILI ZA WATU.

Leo kuna mdada mmoja jirani amevaa shanga kiunoni kama mzigo vile ila cha kushangaza huwa anaziachia wazi mpaka inapelekea watu tunataka kuwasaliti wake zetu,nje tufanyaje na isitoshe tumemshauri mara kibao lakinihasikii na yeye wakati huo ni mke wa mtu.
Angekuwa mjinga ungemwelimisha lakini huyo yaelekea ni mpumbavu, achana naye vinginevyo watu watashindwa kuwatofautisha!?
 
Wanaume Jaman shanga tu unatoka udenda .... Angeiachia wazi si Ndo ungeingia Mzima Mzima ...acheni hizo aisee
 
NAPENDA KUWASHURU WANA JF WOTE KWA SHAURI ZENU NZURI ZA KUIMARUSHA AKILI ZA WATU.

Leo kuna mdada mmoja jirani amevaa shanga kiunoni kama mzigo vile ila cha kushangaza huwa anaziachia wazi mpaka inapelekea watu tunataka kuwasaliti wake zetu,nje tufanyaje na isitoshe tumemshauri mara kibao lakinihasikii na yeye wakati huo ni mke wa mtu.
Kama unapenda shanga tu kiukweli mnunulie mkeo.km knakingne sema haha haha
 
Shanga ndio zikuchanganye? wanavaaga mashuga mami/mimalaya iloyokubuhu na hilo litakuwa shuga mami tu, sizipendi kwelikweli
 
Wala usipate shida. Kama hizo shanga unaziona poa sana....mnunulie mkeo. Hapo itakuwa tatu bila
 
Mi huwa sipendi mtu ni mke wa mtu(ameolewa) lakini bado anavaa na kua na tabia za kutega tega,kuna mmoja nnapoishi haishi kunitega,kanga moja mara kaazima hichi mara kile,yaani hadi kero!
 
yanakuwaga na marangi mabayaaa mtu anayeyaacha wazi must be insane loh


yana sura ya uchafu sana sasa sijui unaweweseka nini
Raha ya shanga upate mtumiaji mzuri........na pia mvaaji awe na kiuno kizuri......
 
Back
Top Bottom