Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Wazaramo na makonde waoane wao kwa wao, mila,tamaduni zao ni ngumu kuingiliana na makabila mengine, ukitaka kumfaham mzaramo kwa undani nenda kisarawe,kazimzumbwe,chole,masaki,maneromango...utachoka
yaaani ni matatizo weupeeeeeeeeee kichwani
 

Attachments

  • 1453465716216.jpg
    1453465716216.jpg
    44 KB · Views: 91
Nenda kariakoo kwa wachina umununulie mwambie aongeze idadi ikibidi mvishe au sio mwana
 
NAPENDA KUWASHURU WANA JF WOTE KWA SHAURI ZENU NZURI ZA KUIMARUSHA AKILI ZA WATU.

Leo kuna mdada mmoja jirani amevaa shanga kiunoni kama mzigo vile ila cha kushangaza huwa anaziachia wazi mpaka inapelekea watu tunataka kuwasaliti wake zetu,nje tufanyaje na isitoshe tumemshauri mara kibao lakinihasikii na yeye wakati huo ni mke wa mtu.
Acha ushamba wewe! dawa ya moto ni moto. fanya hivi: kanunue shanga kama hizo hizo zake unazoziona kila mara zivae kiunoni ili ziwe zinaonekana yaani awe anaziona. soon utaona matokeo mazuri sanaaaa... wish u all the best.....
 
NAPENDA KUWASHURU WANA JF WOTE KWA SHAURI ZENU NZURI ZA KUIMARUSHA AKILI ZA WATU.

Leo kuna mdada mmoja jirani amevaa shanga kiunoni kama mzigo vile ila cha kushangaza huwa anaziachia wazi mpaka inapelekea watu tunataka kuwasaliti wake zetu,nje tufanyaje na isitoshe tumemshauri mara kibao lakinihasikii na yeye wakati huo ni mke wa mtu.
Shanga hizooo.
 

Attachments

  • 1453469881936.jpg
    1453469881936.jpg
    27.2 KB · Views: 91
  • 1453469895312.jpg
    1453469895312.jpg
    6.7 KB · Views: 78
Back
Top Bottom