Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
navaa moja tena chumbani tena sio barabarani ni ufala huo sio sifa pambavNishajua kwanini huzipendi kumbee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
navaa moja tena chumbani tena sio barabarani ni ufala huo sio sifa pambavNishajua kwanini huzipendi kumbee
Last Activity:Nishajua kwanini huzipendi kumbee
Hapa ndipo utazijua akili za watu, shanga zinaongeza/kupunguza nn kwa mpenzi wako, hivi unaona shanga unasisimka hii inaingia akilini!nashangaa watu wengine wanapenda kujumlisha kila mtu kwenye mambo wanayoyaona wao kuwa ni ya maana na wanayapenda
halafu pia hayo matakataka ni ya chumbani kitandani iweje mtu ayaanike hadharani anajidhalilisha na ni umalaya tu we ukiwa umeongozana na =mkeo halafu huo uchafu uko nje nje inaeleweka kweli?ni sawa na mtu akatishe na chupi njiani
ni nashangaa mkuu eti zinasisimua akili kivipi wengine hawataki kuziona unakuta mya kavaa ya rangi za kutisha mekundu bleu hayatofautiani na uchawiHapa ndipo utazijua akili za watu, shanga zinaongeza/kupunguza nn kwa mpenzi wako, hivi unaona shanga unasisimka hii inaingia akilini!
Shanga ni uchafu kama uchafu mwingine
Mimi navutiwa na mtu (mwanamke) jinsi alivyo na sio na alivyo navyo, as shanga, mkufu nk.ni nashangaa mkuu eti zinasisimua akili kivipi wengine hawataki kuziona unakuta mya kavaa ya rangi za kutisha mekundu bleu hayatofautiani na uchawi
Aisee wewe unatushangaza umezionaje shanga za kiunoni kwa mwanamke tena umesema mwenyewe ni mke wa mtu.. kwani huwa havai gauni wala kitenge au khanga kiunoni mwake hiii sasa ni tamaa binafsi inayokusumbua inawezekana umesimuliwa au kusikia kupitia kwa majirani nawe umeidaka hivohivo nakuileta humu jukwaani... unataka tukufanyeje sisi una mkeo kamalizie hasira zako za tamaa kwa mkeo akhaa kazi kuangalia viuno vya wake za majirani zenu kwa nini usimwangalie mkeo? nenda zako tulizana na mkeoFikiria na kutafakari mambo ya maendeleo, binafsi na jamii ikuzungukayo kwanza...achana na shanga kwani ni matakwa binafsi ya mvaaji!
Ahahahahah, angeona uno nadhani hasingelisema zaidi ya kufuata asali ilikoAjee jamaa wee hatari, umeona shanga tu wataka kusaliti mkeo ungeona mauno yake siungemfanya mke wapili kabisa
Ha ha aha duuh!Hameni
Ahahahahah, angeona uno nadhani hasingelisema zaidi ya kufuata asali iliko
Mumewe ni mjedaKamshtaki kwa mumewe!
hahahahaha akiwa anauzaram lazma avae wamakonde wanavaa japo hao niliowataja sio woteMimi navutiwa na mtu (mwanamke) jinsi alivyo na sio na alivyo navyo, as shanga, mkufu nk.
Historia ya shanga ina vimelea vya ushirikina, dem wangu akivaa ndo mwisho wa mahusiano
Naona mumba daly anatafuta bwana kwa nguvu, bahati mbaya sana sifanyagi kinyume chaaumbile, katoka kwako naona amehamia kwanguhahahahaha akiwa anauzaram lazma avae wamakonde wanavaa japo hao niliowataja sio wote
Wazaramo na makonde waoane wao kwa wao, mila,tamaduni zao ni ngumu kuingiliana na makabila mengine, ukitaka kumfaham mzaramo kwa undani nenda kisarawe,kazimzumbwe,chole,masaki,maneromango...utachokahahahahaha akiwa anauzaram lazma avae wamakonde wanavaa japo hao niliowataja sio wote
mimi nimemweka kwenye ignore list simuoni anasaka kikiNaona mumba daly anatafuta bwana kwa nguvu, bahati mbaya sana sifanyagi kinyume chaaumbile, katoka kwako naona amehamia kwangu