Nkungulume
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,987
- 1,209
Shanga zinapendeza wala sio uchafu hizo zinaitwa chacha ndu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa mjinga ungemwelimisha lakini huyo yaelekea ni mpumbavu, achana naye vinginevyo watu watashindwa kuwatofautisha!?NAPENDA KUWASHURU WANA JF WOTE KWA SHAURI ZENU NZURI ZA KUIMARUSHA AKILI ZA WATU.
Leo kuna mdada mmoja jirani amevaa shanga kiunoni kama mzigo vile ila cha kushangaza huwa anaziachia wazi mpaka inapelekea watu tunataka kuwasaliti wake zetu,nje tufanyaje na isitoshe tumemshauri mara kibao lakinihasikii na yeye wakati huo ni mke wa mtu.
Kweli kabisa mkuu, vinginevyo tutaonekana wazembeAsipoonekana hadi kesho inabidi tutoe taarifa aisee
Kama unapenda shanga tu kiukweli mnunulie mkeo.km knakingne sema haha hahaNAPENDA KUWASHURU WANA JF WOTE KWA SHAURI ZENU NZURI ZA KUIMARUSHA AKILI ZA WATU.
Leo kuna mdada mmoja jirani amevaa shanga kiunoni kama mzigo vile ila cha kushangaza huwa anaziachia wazi mpaka inapelekea watu tunataka kuwasaliti wake zetu,nje tufanyaje na isitoshe tumemshauri mara kibao lakinihasikii na yeye wakati huo ni mke wa mtu.
Asipoonekana hadi kesho inabidi tutoe taarifa aisee
Eeeh najua sana alipo, kasema tumeni kwanza hela ndo atajitokezaKweli kabisa mkuu, vinginevyo tutaonekana wazembe
Au usikute douta wako Heaven Sent anajua aliko?
Inawezekana aisee..Mana hawa ukaribu wao hata siuelewi..Uenda wana agenda ya siriKweli kabisa mkuu, vinginevyo tutaonekana wazembe
Au usikute douta wako Heaven Sent anajua aliko?
Ngoja douta wako aje atwambie vizuri, nimemuona kwa mbaaali anakuja usawa huuInawezekana aisee..Mana hawa ukaribu wao hata siuelewi..Uenda wana agenda ya siri
well said madammmmh mveshe na wewe wa kwako kwani shanga zi buku tu? loh
Tamaa tu hizo, wawezakuta mkewe naye anazo!Wala usipate shida. Kama hizo shanga unaziona poa sana....mnunulie mkeo. Hapo itakuwa tatu bila
Raha ya shanga upate mtumiaji mzuri........na pia mvaaji awe na kiuno kizuri......yanakuwaga na marangi mabayaaa mtu anayeyaacha wazi must be insane loh
yana sura ya uchafu sana sasa sijui unaweweseka nini
muulize ananunua wapi ukamchukulie mkeo
Raha ya shanga upate mtumiaji mzuri........na pia mvaaji awe na kiuno kizuri......
Raha ya shanga upate mtumiaji mzuri........na pia mvaaji awe na kiuno kizuri......