sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,847
Hakivutii.......na sijawahi kuvaa.....Kiuno chako kwa uvaaji wa shanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakivutii.......na sijawahi kuvaa.....Kiuno chako kwa uvaaji wa shanga.
sasa we naye mfukunyukuTupe ID ya Mr ajibie
Sasa kwani ni wewe ndiyo unatakiwa ujue kama kinavutia au ni yule ambaye ana ge geHakivutii.......na sijawahi kuvaa.....
Mkuu usipopigwa ban ya miaka kadhaa basi ntahamia Somalia au Syria mimi na ukoo wangu wote.Mambo ndiyo hayo....
...yani wewe ni MSHAMBA Mshirikina!Mimi navutiwa na mtu (mwanamke) jinsi alivyo na sio na alivyo navyo, as shanga, mkufu nk.
Historia ya shanga ina vimelea vya ushirikina, dem wangu akivaa ndo mwisho wa mahusiano
Na picha, kama inawezekana
Sawa..Sasa kwani ni wewe ndiyo unatakiwa ujue kama kinavutia au ni yule ambaye ana ge ge
Kila mtu ni mshamba maeneo flani, kwa hilo nakubaliana nalo kuwa mshamba, nawe kwenye angle zangu ni mshamba tuuu...yani wewe ni MSHAMBA Mshirikina!
...Period!
...teh teh teh ...sasa mbona washupaza shingo kishamba kwa ushamba wako wakati wajijua u-MSHAMBA!??Kila mtu ni mshamba maeneo flani, kwa hilo nakubaliana nalo kuwa mshamba, nawe kwenye angle zangu ni mshamba tuuu
So wajiona mjanja kwa kupenda shanga au!...teh teh teh ...sasa mbona washupaza shingo kishamba kwa ushamba wako wakati wajijua u-MSHAMBA!??
....mi ni "mshamba tuuu" kwenye yale mambo yenu ya vibao kata!
...sheikh wauliza vumbi stoo ya mkaa!?So wajiona mjanja kwa kupenda shanga au!
Sawa kabisa, umeongea kiutu uzima.Ukiona unapenda sketi za shule mshonee mkeo
Duh huyu akitaka kunywa maji vipii? Nacho kitakunywa!Nini Madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu,
1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia
2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia au yote kwa pammoja
3: Na mwisho ni Shanga za kiunoni.
Je waona je vyapoteza maana halisi kwa wanao vaaa hole hole hole au?
Maoni yako tafadhali changia
===========================================
MAJIBU YALIYOPATIKANA
===========================================
Nimeona nilete mada hii ili kuwekana sawa katika ishu ambayo inaongelewa pasipo kuwa na ufahamu wa kina. Katika mapambo yanayotumika sana ulimwenguni na tena na watu wa marika tofauti ni pamoja na vikuku na vishaufu.
=> Kuhusu vikuku miguuni
![]()
Kwa makabila ya kiafrika vikuku huvaliwa kuanzia na watoto wachanga, wasichana, wanawake wa makamo na hata vikongwe.
Vikuku hivyo vyaweza kuwa vya shanga, ngozi, au hata madini kama dhahabu, fedha na hata shaba. Vyaweza kuvaliwa mguu mmoja au hata miguu yote.
![]()
=> Kuhusu uvaaji wa Vishaufu/kipini puani
![]()
Tukirudi kwa vishaufu, urembo huu ambao huvaliwa puani aghalabu hupatikana kwa makabila ya pwani lakini kwa miaka ya karibuni umeenea hata kwa makabila mengine hasa kwa wasichana.
=> Kuhusu uvaaji wa shanga kiunoni
Hitimisho:
Kwanini basi naleta hii ishu tuijadili ni kwamba, hapa JF nimesoma baadhi ya wachangiaji wakihusisha hasa vikuku na mienendo isiyofaa na kuleta dhana kuwa wenye kutumia mapambo hayo basi wana ajenda nyingine.
Binafsi napenda kusema kuwa urembo wowote waweza kutafsiriwa vyovyote - kwa ubaya au uzuri ila mwisho wa siku mtumiaji/mvaaji tu ndiyo mwenye kujua maana.
Wenzangu sijui mnasemaje?