rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Hakuna urembo ukiona hivyo anapakuliwa tigo
Kwako anapakuliwa kwangu urembo na maisha yanaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna urembo ukiona hivyo anapakuliwa tigo
Ts their culture traditional custom bhas na nyie toboen maskio matundu makubwa by the way Mimi I don't judge anayevaa hivo kuna wanaovaa kma urembo kuna wanaovaa kutangaza wanayofanya so msilaumu watu don't judge bhana ts not fairMbona Arusha hawa wanawake wa kimasai wanavaa sana ki naona ni urembo tu, pia huwa napenda jinsi wanavyovivaa mabinti.
Ukweli haubadirishwi na mvumo wa upepo, wewe ni Mpemba au mpwani pwani hongeraKwako anapakuliwa kwangu urembo na maisha yanaendelea
Ukweli haubadirishwi na mvumo wa upepo, wewe ni Mpemba au mpwani pwani hongera
HahahahahaNdio habari ya mjini hyo, 70% wanamaanisha tigo, we ukiona kavaa hicho halafu hujala mzigo ataondoka anasononeka
Wife atakuwa anakubeep ila wewe humpugii basi acha wanaojua kupiga wapige tuMawazo yako tu! huu ni urembo, mie mwenye wife anapiga cha gold hua anapendeza kinoma noma yaani na kashanga kake kiunoni ka gold nako ... mubashara kwenda mbele
Wa gharama ndo manaajeMawazo yako tu! huu ni urembo, mie mwenye wife anapiga cha gold hua anapendeza kinoma noma yaani na kashanga kake kiunoni ka gold nako ... mubashara kwenda mbele
Sijakuelewa!Wa gharama ndo manaaje
Acha mikwara mbuzi SheikhHuu uzii ni wa Laana na umejaa uchafu unatakiwa ufutwe maramoja. .. !! La sivyo hata hii Jamiiforums italaanika ..!
Chunguza fresh mkuu wahuni wanakusaidia huko njeMawazo yako tu! huu ni urembo, mie mwenye wife anapiga cha gold hua anapendeza kinoma noma yaani na kashanga kake kiunoni ka gold nako ... mubashara kwenda mbele
We uwa unavaa pia?Ni urembo tuu hamna lingine
Kwanza hiyo maana ya kuvaa kikuku ndio nimeiona leo hapa kwa mleta threadTitty, joanah na miss natafuta....njoon mtusaidie aseee......hapa.......sisi vichwa vinauma hatuelewi kaa ni urimbwende au................
Wasiojiweza wanavaa vikuku/shanga za bei ya chini lakini nyoka mdogo na mkubwa sumu hazipishani,ukali ni ule uleSijakuelewa!
Aya bhana..kama mmasai mie sina shida, Kwa wengine mh!Mpaka kwenye vidole mkuu