Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Hii kitu ni urembo tu!!! Ika unatumika sana na wadada wa aina fulani!!! Msichana mstaarabu na anaejielewa na kujitambua ni ngumu kumkuta kavaa kikuku... Vinavaliwa sana na wapenda sexual attention, ila haimaanishi ni wanachama wa tigo. Ukivaa kikuku unajifeel sexy, ata jinsi ya kutembea na kuongea inabadilika....
Kwa mtu kama mimi siwezi ata kukivaa... Yaani ni kama kumwaga sukari chini, obviously sisimizi watakuja tu... Kikuku ni kama sukari, kinavuta wanaume.
Nimekumbuka mwanamama Ritha Mlaki alikua anapenda sana kuvaa vikuku enzi hizo mbunge, kuna baadhi ya wamama ni wastaarabu na wanavaa.
 
Nimekumbuka mwanamama Ritha Mlaki alikua anapenda sana kuvaa vikuku enzi hizo mbunge, kuna baadhi ya wamama ni wastaarabu na wanavaa.
Hapana!!! Mie mama atakaevaa kikuku namtoa kwenye ustaarabu! Hao wabunge wanauvaa tu ustaarabu kwa ajili ya nafasi wanazoshika ila ukienda nyuma ya pazia hawana tofauti na akina Wema Sepetu... Naonaga Mange anavyowafukua mpaka unashangaa!
 
Yeah! Umenikumbusha kitu,... Unajua hata wale wanaotoboa sikio Mara mbili, huwa nawachukulia kama wahuni, na wanaojiuza.. Hivi hii ni mtazamo wangu tu, au napatia
Nadhani ni mtizamo tu tulionao,

yaan kama mimi nikashamuona mdada katoboa pua, ulimi sijui kitovu namuona mhuni na sipendi kweli wakati wengine walaa sio wahuni wamejitoboa kama urembo tu.
 
Hapana!!! Mie mama atakaevaa kikuku namtoa kwenye ustaarabu! Hao wabunge wanauvaa tu ustaarabu kwa ajili ya nafasi wanazoshika ila ukienda nyumba ya pazia hawana tofauti na akina Wema Sepetu... Naonaga Mange anavyowafukua mpaka unashangaa!
Tunarudi pale pale ni mtizamo wako ndiyo unawachukulia hivyo, unataka niambia wote wanaovaa vikuku si wastaarabu?

Ambacho nakiona sio utamaduni wetu ndiyo maana tunachukulia vibaya.
 
So na wamasai wanaovaa kama utamaduni wao hadi wanaume nao ni nini, mtazao wako usitake kila mtu aufuate mie binafsi napenda mwanamke anaye vaa kikuku huleta mvuto ukute katupia na kachachandu kiunoni uwiiiiiiiiiiiiii nakojoaaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
So na wamasai wanaovaa kama utamaduni wao hadi wanaume nao ni nini, mtazao wako usitake kila mtu aufuate mie binafsi napenda mwanamke anaye vaa kikuku huleta mvuto ukute katupia na kachachandu kiunoni uwiiiiiiiiiiiiii nakojoaaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ila id yako haishangazi na ulichokiandika mkuu , always play boys are like that
 
mimi sivipendi[emoji23] baadhi ya watu nnaowafahamu wanavaaga najaribu kuwaelekeza wanasema ni urembo tu hakuna lolote.
Ila kuvaa kikuku ni nembo ya umalaya, mguu wa kushoto nyuma ,wa kulia mbele...
akivaa yote anauza pote[emoji23][emoji23].


Halafu zamani walikua wanavaa walioolewa ambao mumewe jogoo hasimami ,kwahiyo akivaa anamaanisha mumewe hawezi kitu yuko tayari kwa mpango wa kando na Bwana karuhusu( mama ndivyo alivosema )
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kwahiyi ww ulimsikiliza mama alivyokwambia ubaya wa kuvaa vikuku tu?...hakukukataza kufanya tendo la ndoa kabla hujaolewa?
 
Hapana!!! Mie mama atakaevaa kikuku namtoa kwenye ustaarabu! Hao wabunge wanauvaa tu ustaarabu kwa ajili ya nafasi wanazoshika ila ukienda nyumba ya pazia hawana tofauti na akina Wema Sepetu... Naonaga Mange anavyowafukua mpaka unashangaa!
Kwahiyo mange kimambi ndio mtakatifu sana?!
 
Kwan mtu akitoboa sikio zaidi ya mara moja ndio ina maan a gani?!
 
Kama kuna ka ukweli hivi[emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Naunga mkono hoja kuwa vikuku ni kiashiria cha awali cha mwanamke Malaya na mliwa goti ..... case study mama ritha mlaki.
 
Hizo tamaduni nyingine za kuiga sio nzuri.
Tuache kuiga tamaduni za watu
Mmasai mwanaume anavaa shanga mpaka kiunoni lakini akivaa Mkurya mtamwita msenge[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hizo tamaduni nyingine za kuiga sio nzuri.
Tuache kuiga tamaduni za watu
Mmasai mwanaume anavaa shanga mpaka kiunoni lakini akivaa Mkurya mtamwita ******[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ahsante mod[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mmmmh dunia hii bhanaa... Kweli watu tumeumbwa tofajti
 
Back
Top Bottom