Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumbuka mwanamama Ritha Mlaki alikua anapenda sana kuvaa vikuku enzi hizo mbunge, kuna baadhi ya wamama ni wastaarabu na wanavaa.Hii kitu ni urembo tu!!! Ika unatumika sana na wadada wa aina fulani!!! Msichana mstaarabu na anaejielewa na kujitambua ni ngumu kumkuta kavaa kikuku... Vinavaliwa sana na wapenda sexual attention, ila haimaanishi ni wanachama wa tigo. Ukivaa kikuku unajifeel sexy, ata jinsi ya kutembea na kuongea inabadilika....
Kwa mtu kama mimi siwezi ata kukivaa... Yaani ni kama kumwaga sukari chini, obviously sisimizi watakuja tu... Kikuku ni kama sukari, kinavuta wanaume.
Hapana!!! Mie mama atakaevaa kikuku namtoa kwenye ustaarabu! Hao wabunge wanauvaa tu ustaarabu kwa ajili ya nafasi wanazoshika ila ukienda nyuma ya pazia hawana tofauti na akina Wema Sepetu... Naonaga Mange anavyowafukua mpaka unashangaa!Nimekumbuka mwanamama Ritha Mlaki alikua anapenda sana kuvaa vikuku enzi hizo mbunge, kuna baadhi ya wamama ni wastaarabu na wanavaa.
Nadhani ni mtizamo tu tulionao,Yeah! Umenikumbusha kitu,... Unajua hata wale wanaotoboa sikio Mara mbili, huwa nawachukulia kama wahuni, na wanaojiuza.. Hivi hii ni mtazamo wangu tu, au napatia
Tunarudi pale pale ni mtizamo wako ndiyo unawachukulia hivyo, unataka niambia wote wanaovaa vikuku si wastaarabu?Hapana!!! Mie mama atakaevaa kikuku namtoa kwenye ustaarabu! Hao wabunge wanauvaa tu ustaarabu kwa ajili ya nafasi wanazoshika ila ukienda nyumba ya pazia hawana tofauti na akina Wema Sepetu... Naonaga Mange anavyowafukua mpaka unashangaa!
Kila mtu na perception yake..
Ukikandia kikuku na cheni za kiunoni je?!!!
Na wanaotoboa masikio matundu sita sita je?!!
Me navaa na nnaviuza jamn..mwenye kuhitaji karibu PMView attachment 513136
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ila id yako haishangazi na ulichokiandika mkuu , always play boys are like thatSo na wamasai wanaovaa kama utamaduni wao hadi wanaume nao ni nini, mtazao wako usitake kila mtu aufuate mie binafsi napenda mwanamke anaye vaa kikuku huleta mvuto ukute katupia na kachachandu kiunoni uwiiiiiiiiiiiiii nakojoaaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hata kama kina dawa sitakiNipo tayari kukununulia mkuu
Kwahiyi ww ulimsikiliza mama alivyokwambia ubaya wa kuvaa vikuku tu?...hakukukataza kufanya tendo la ndoa kabla hujaolewa?mimi sivipendi[emoji23] baadhi ya watu nnaowafahamu wanavaaga najaribu kuwaelekeza wanasema ni urembo tu hakuna lolote.
Ila kuvaa kikuku ni nembo ya umalaya, mguu wa kushoto nyuma ,wa kulia mbele...
akivaa yote anauza pote[emoji23][emoji23].
Halafu zamani walikua wanavaa walioolewa ambao mumewe jogoo hasimami ,kwahiyo akivaa anamaanisha mumewe hawezi kitu yuko tayari kwa mpango wa kando na Bwana karuhusu( mama ndivyo alivosema )
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kwahiyo mange kimambi ndio mtakatifu sana?!Hapana!!! Mie mama atakaevaa kikuku namtoa kwenye ustaarabu! Hao wabunge wanauvaa tu ustaarabu kwa ajili ya nafasi wanazoshika ila ukienda nyumba ya pazia hawana tofauti na akina Wema Sepetu... Naonaga Mange anavyowafukua mpaka unashangaa!
Ahsante mod[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hizo tamaduni nyingine za kuiga sio nzuri.
Tuache kuiga tamaduni za watu
Mmasai mwanaume anavaa shanga mpaka kiunoni lakini akivaa Mkurya mtamwita ******[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]