Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Chaputa enterprises.. kuna umuhimu tuanzishe uzi wa kukumbushana mademu tuliowapigia puliYule Ritha Mlaki nmeshampigia sana puli enzi hizo kwa ajili ya vikuku vyake...mwenye namba yake naomba jamani.
Utashangaa kukuta Grace Mugabe nae anapigiwa puchu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Chaputa enterprises.. kuna umuhimu tuanzishe uzi wa kukumbushana mademu tuliowapigia puli
Kutokana na kwamba naishi ktk jamii ambayo inaamini hivyo, sitaweza mruhusu mke wangu au manangu avae, kwa kulinda tu heshima ktk jamii, ingawa kwangu naona ni kitu cha fasheni.Eti kwa mfano lakini. Unaweza ukaruhusu wife au mwanao avae?
Daaah hii chaputa hatari aisee.. nakumbuka masela wangu advance chaputa ilikua kama msosi. Kutwa mara 3Utashangaa kukuta Grace Mugabe nae anapigiwa puchu
Christina Aguilera zamani niliwahi mpigia puli la nguvu tu.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Chaputa enterprises.. kuna umuhimu tuanzishe uzi wa kukumbushana mademu tuliowapigia puli
Ni kweli ndugu. Binafsi sipendagi hata kuongozana na mwanamke amevaa hizo mambo aisee.. kutolana ma tafsiri ambayo imeshawakaa watu kichwani, ni aibu kubwa.Kutokana na kwamba naishi ktk jamii ambayo inaamini hivyo, sitaweza mruhusu mke wangu au manangu avae, kwa kulinda tu heshima ktk jamii, ingawa kwangu naona ni kitu cha fasheni.
Brick n Lace .....[emoji39] [emoji39] [emoji39]Christina Aguilera zamani niliwahi mpigia puli la nguvu tu.
Nafikiri ni urembo ila baadhi yao wanatangaza biasharaHabari wana Jamvi
Kuna hawa Dada zetu unakuta wamevaa vicheni miguuni ambapo mtaani wanaita vikuku hivi huwa wana maana gani..?.Nakumbuka wakati nipo mdogo nishawa kuuliza ma brother wa kaniambia ati wanajiuza na akivaa miguu yote maana yake kwote kwote yaan mbele na opposite yake.Na akivaa mguu mmoja ,kulia means mbele tu na akivaa kushoto means jiran opposite yake.Nilipofika chuo nilikutana na hawa wadada wanaovaa hivi vikuku wakaniambia ati ni urembo tu.
So which is which ,sielewi naomba mniambie cz kiukwel hawa wadada nawaogopa sana ,yani hata akiwa mzuri vipi ...bahati mbaya zaidi kuna huyo mmoja ni mzuri anajitaidi mpaka ananiambia me hanisi ila
Sasa kwa nini usivae, si urembo tu.. eti eenhNapenda sana nikiona mtu amevaa vikuku!
Huwa wanapendeza, ama kwa hakika ni urembo tuu!
Ila mimi sitakuja nivae hayo mavikuku[emoji12] [emoji12] [emoji12]
The problem is how people will perceive you!?Sasa kwa nini usivae, si urembo tu.. eti eenh
Well, basi huo si urembo kiuhalisia..The problem is how people will perceive you!?
Kwa wamasai jee[emoji1] [emoji1] [emoji1]Nasikia ni urembo kwa watoto ila kwa watu wazima ni signal.
Yani hizi mambo za vikuku mi naonaga ni umalaya tu.. tena wa standard gauge.. alaf balaa angalia hata wavaaji wenyewe ile appearanve yao..Rafiki angu haswa alikua anapenda kuvaa hawez toka bila kuvaa n alikua anapendeza ila Mimi acha tuu nionekan mshamba ,siwez at kujaribu kuvaa
Ha ha haYani hizi mambo za vikuku mi naonaga ni umalaya tu.. tena wa standard gauge.. alaf balaa angalia hata wavaaji wenyewe ile appearanve yao..
sisi wa pwani tunajua maana yake, nyie vaeni tu utashangaa mtu anakufatafata kila uendako!Ni fasheni tu, ila wengi mitaani wakiona hivyo wanasema huyo demu maana yake analika kote kote, unageuza tu kama zile kaseti za zamani. Unachapa side A ukimaliza unageuza side B.