Habari wana Jamvi
Kuna hawa Dada zetu unakuta wamevaa vicheni miguuni ambapo mtaani wanaita vikuku hivi huwa wana maana gani..?.Nakumbuka wakati nipo mdogo nishawa kuuliza ma brother wa kaniambia ati wanajiuza na akivaa miguu yote maana yake kwote kwote yaan mbele na opposite yake.Na akivaa mguu mmoja ,kulia means mbele tu na akivaa kushoto means jiran opposite yake.Nilipofika chuo nilikutana na hawa wadada wanaovaa hivi vikuku wakaniambia ati ni urembo tu.
So which is which ,sielewi naomba mniambie cz kiukwel hawa wadada nawaogopa sana ,yani hata akiwa mzuri vipi ...bahati mbaya zaidi kuna huyo mmoja ni mzuri anajitaidi mpaka ananiambia me hanisi ila