Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Nitakuja uzichungulie mbili tu kwa afyaMie napenda mwanamke awe hivyo kama wewe [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakuja uzichungulie mbili tu kwa afyaMie napenda mwanamke awe hivyo kama wewe [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Njoo nikuulize pmZikizidi mauchafu tu me napenda sana kuvaa mbili yaan zinapendeza mno
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] ahsante wangu, nipo bachera karibu.Nitakuja uzichungulie mbili tu kwa afya
Bahati mbaya mkuu me nimeshawahiwa[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] ahsante wangu, nipo bachera karibu.
Mkuu ushawai kuchagua nyekundu na kilikutokea nnShangingi langu la tanga lilikuwa linazima taa halaf linakwambia chagua shanga kila rangi ina mambo yake utakayochagua ndio utakayopewa...Mungu ampe maisha marefu Naima uko alipo
Nyekundu inavaliwa siku maalum tuMkuu ushawai kuchagua nyekundu na kilikutokea nn
Unajua ninadem wa Tanga kipindi cha kwanza nilifikir kama ushirikina hivi sema nikajipa muda nikachunguza kwa kina,Nyekundu inavaliwa siku maalum tu
Kikuku ni kuliwa punga, kama kuku anavyo kula mpunga ndomana ikaitwa kikuku
Kumbe we mlokoleNatamanigi kuvaa ila hii tafsiri vichwani kwa watu ndo inanfanya nisivae
Mtu tu wa kawaida,sio mlokole wala sio mwenda ovyo teheKumbe we mlokole
Hahah@Kumbeeee... mi napenda kuviangalia mdada akiwa nacho mguuni afu guu lenyewe liwe guu kweli sio spoku Za pikipiki.
Kumbe maeneo yetu huendi?Mtu tu wa kawaida,sio mlokole wala sio mwenda ovyo tehe
Ishi maisha yako... Ukiwasikiliza waja utashindwa hata kupaka wanja kwakuwa kila kitu wana tafsiri yakeNatamanigi kuvaa ila hii tafsiri vichwani kwa watu ndo inanfanya nisivae
sijui hii tafsiri ilianzia wapi mm pia nashindwa kuelewa, mm pia nilikua naona ni urembo tu..Natamanigi kuvaa ila hii tafsiri vichwani kwa watu ndo inanfanya nisivae
Umemshauri vema.ila.yeye.pia.tafsiri anaijua hiyoIshi maisha yako... Ukiwasikiliza waja utashindwa hata kupaka wanja kwakuwa kila kitu wana tafsiri yake