Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,977
- 6,635
Vaa cha kulia.Mm napenda mwanamke akivaa hizo mambo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vaa cha kulia.Mm napenda mwanamke akivaa hizo mambo sana
Hapo ulipotaja waarabu umeua mantiki ya jibu lakoNi urembo tu imani potofu zinawapotosha. Wahindi, waarabu, wamasai na wengineo wote wangekua wamekubuhu kwenye hiyo tabia basi
Ww umevaa cha kushoto?Vaa cha kulia.
HahahaHapo ulipotaja waarabu umeua mantiki ya jibu lako
Nakeleka kweli na hii kituMi nitaendelea kuamini kwamba mwana mke anayevaa vikuku miguuni ni muhuni na siwezi kumtongoza., wengi wanajiuza
Nimepata kuongea na dada mmoja na kunieleza maana yake halisi,
Kwamba akivaa kushoto mgooni inamaanisha anauza mbele tu,
Akivaa kulia hapo tigo express yourself
Akivaa miguu miwili maana pote ni useful anapauza
View attachment 717889
Navaa vizuri na sijawahi kumbana na watu wenye akili finyu kama zako. Unafikiri kila mtu anakaa kuwaza ufirauni kama wewe.Ni urembo vaa uone watavyokufukuzia wapenda kusikia harufu ya choo
So?Hapo ulipotaja waarabu umeua mantiki ya jibu lako
Mkuu umenielewa visivyo...Mkuu ulivyotaja kwa kebehi, miguu myembamba kwamba ni spoku za pikipiki, nimeona haujawahi kukumbana nayo hiyo miguu ya kwale kwenye anga zako.
Hata mimi zamani nilidharau sana kiumbe anayemiliki miguu kabila hiyo.
Lakini nilipowafanyia 'utafiti' wangu wa kina, nikwambie wengi waliniliza kwa furaha na heshima ikapanda juu yao.
Sijawahi tena kuleta dharau zangu.
Sasa bado wewe, ukija kutafiti, utakujanitag.
Mimi najua ni urembo nikiona wadada wa kihindi wale kwenye runinga wamevaa napenda sana.Hebu tuambie wewe kina maana gani mkuu,
Nitake radhi dada,Mimi sio firauni,kama ushauri wangu ni mbovu usinitusi.Sitegemei ktk maisha yangu nitakayoishi hapa dunia na kesho kwa Mungu kumkosea adabu kiumbe kinaitwa mwanamkeNavaa vizuri na sijawahi kumbana na watu wenye akili finyu kama zako. Unafikiri kila mtu anakaa kuwaza ufirauni kama wewe.
Unatamani kukivaa?Hahah@
vaaa tu hamna shidaNatamanigi kuvaa ila hii tafsiri vichwani kwa watu ndo inanfanya nisivae
Kama unaheshimu mwanamke kwanini useme kitendo cha kuvaa kikuku mtu uanze fukuziwa na wapenda choo. Hiyo ni heshima??Nitake radhi dada,Mimi sio firauni,kama ushauri wangu ni mbovu usinitusi.Sitegemei ktk maisha yangu nitakayoishi hapa dunia na kesho kwa Mungu kumkosea adabu kiumbe kinaitwa mwanamke
Mimi sijui kuliwa nini, we uliye wahi kuliwa hebu tuambie uwanja ni wako mkuu
🙄Mimi na mwanaume huwa nakula tu mizigo kama wewe sister
Ili nizomew mtaa mzima?vaaa tu hamna shida
atakae kuzomea mlete kwanguIli nizomew mtaa mzima?
Siku ya mwisho natamani sana kuwe na litivii likubwa tuone hawa watu wanaoaminika ni wema .,.kushoto ndo Tigo..kulia Airtel
vikuku kwa mila na desturi zetu...ni ishara ya umalaya tu hamna kingine
ndio maana hutakaa ukute mama mchungaji kavaa kikuku au wanawake wanaojitambua
Vaa ukiwa ndani, ila ujue ukiyaweka kichwani uyasikiayo ya walimwengu utapata shida.....Natamanigi kuvaa ila hii tafsiri vichwani kwa watu ndo inanfanya nisivae