Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisaaaaHii ndio huitwa IMANI POTOFU!
Yenu yapi?Kumbe maeneo yetu huendi?
Hivyo vidude ni urembo tu,kwa maana kama laiti ingekuwa ni kweli wanayonena watu basi tungesema hata wamasai wanaume wote ndio hivyo kwa maana wote wanavaa shanga.[emoji13] [emoji13] [emoji13]vaaa tu hamna shida
Labda nivae ndani afu nikitoka nje nitoe[emoji23] [emoji23] waja wana mengi bora kuyaepukaIshi maisha yako... Ukiwasikiliza waja utashindwa hata kupaka wanja kwakuwa kila kitu wana tafsiri yake
mimi sinahaja ya kufahamu ni wema au wabaya.Siku ya mwisho natamani sana kuwe na litivii likubwa tuone hawa watu wanaoaminika ni wema .,.
Si ndio maajabu hayo [emoji23][emoji23][emoji23]Hivyo vidude ni urembo tu,kwa maana kama laiti ingekuwa ni kweli wanayonena watu basi tungesema hata wamasai wanaume wote ndio hivyo kwa maana wote wanavaa shanga.[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Ayaa, sidai na lei? Sidai tukulu? unamwelemwele?
Nawaheshimu Maasai wote hapa nilitolea kama mfano tu.
Acha mambo ya kitoto Pimbi ww,kati ya Ccm na Upinzani,ni upande upi unaotumia matuc kuingia mjengo mweupe?sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;
Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.
Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Ili nizomew mtaa mzima?
Nimekutahazalisha sikuwa namtukana mwanamke,Kwangu sahau kutukana mwanamke maishani mwangu Dada.Nimeona waliovunjiwa heshima ndio maana nikatoa tahazali kwa wanawake wanaojiheshimu kama weee uko mmoja waoKama unaheshimu mwanamke kwanini useme kitendo cha kuvaa kikuku mtu uanze fukuziwa na wapenda choo. Hiyo ni heshima??
Wow... Nimekupenda tayari mwenzio..mimi sinahaja ya kufahamu ni wema au wabaya.
ila kuna kitu kinaitwa STARA,HAIBA YA KIKE
hata ukiwa malaya kiasi gani ukiwa na stara,haiba hakuna atakae kudharau kiivyo.
lakini unakua malaya,unavaa mavikuku,mapete kibao matiti yako wazi mapaja nje hivi unadhani nani atakuheshimu?
kuna watu wanauza lakini wako very smart wana haiba ya kike/Stara
kikuku huwezi kumkuta mtu mwenye stara amekivaa hata siku moja
Basi mimi nimetoa maoni kutokana na jamii niliyokua nayo. Hiyo jamii inayoamini upotofu sipo nayoNimekutahazalisha sikuwa namtukana mwanamke,Kwangu sahau kutukana mwanamke maishani mwangu Dada.Nimeona waliovunjiwa heshima ndio maana nikatoa tahazali kwa wanawake wanaojiheshimu kama weee uko mmoja wao
[emoji23] [emoji23]atakae kuzomea mlete kwangu
hahaaaaaMleta mada huo ni urembo tu usiwe brain washed kitoto hivyo kwani wanaolegeza suruali wote wanauza matako?
Jamani wadau sehemu hii,mekuja hapa kimakosa!Acha mambo ya kitoto Pimbi ww,kati ya Ccm na Upinzani,ni upande upi unaotumia matuc kuingia mjengo mweupe?
Unakumbuka Ben aliposema "wanaotaka mabadiliko wote ni wapumbavu," unakumbuka matuc aliyotukanwa Lowassa kwenye kampeni za 2015?
Tufanye siasa lkn tukumbuke na utu/ubinadamu
Bora wali maharage kuliko wali mwenguVaa ukiwa ndani, ila ujue ukiyaweka kichwani uyasikiayo ya walimwengu utapata shida.....
Nipe namba yake anchore hinaShemej yenu wa zaman alikua anavaa kama urembo tuView attachment 717936View attachment 717938
Good idea ....nitaipeleka mahali hii ideaLabda nivae ndani afu nikitoka nje nitoe[emoji23] [emoji23] waja wana mengi bora kuyaepuka
aaghhhhh miguu myembamba ni miguu myembamba tu mkuu ...acha kuwapaka rangi kiasi hicho ...hamna kitu hapo ...Mkuu ulivyotaja kwa kebehi, miguu myembamba kwamba ni spoku za pikipiki, nimeona haujawahi kukumbana nayo hiyo miguu ya kwale kwenye anga zako.
Hata mimi zamani nilidharau sana kiumbe anayemiliki miguu kabila hiyo.
Lakini nilipowafanyia 'utafiti' wangu wa kina, nikwambie wengi waliniliza kwa furaha na heshima ikapanda juu yao.
Sijawahi tena kuleta dharau zangu.
Sasa bado wewe, ukija kutafiti, utakujanitag.