Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Kuna manzi angu alivaa siku Mojaaa aisee...!! Nlimzinguaa hasaa...Mwanamke anaejiheshimu na kujitambua havai kikukuu ndo Maana ukiende mikoani hukuti hayo mambo yapo Dar kwa sanaa... Na wanaovaa mikoani ni malayaaa tu

KUVAA KIKUKUUU NI UMALAYAAAAA HAKUNA KUPINDISHA MANENO...
 
Mimi nikiona kikuku mguuni nasisimkwa na mwili kabisa, akili inanituma kugegeda tu. Naweza kumtazama mwanamke alievaa kikuku huku namvua nguo kihisia
Upo kamaa mimi aseee. Wananitoaga attention ya kufanya vitu vya msingi nawaza tuu akili. Yaan nikimshika uyu ataninyea mkononi
 
Sijawahi tokea demu mwenye kikuku akazingu hata mara moja.
Sometimes huwa najaribu tu hata nakuwa sina mpango ila najikuta IMOOOO!
naibua zigo kiulaini ila sijawahi omba tigo hata nikute kavaa kushoto au miguu yote.
.....0716 kwangu ni HARAMU.
 
Mkuu umenielewa visivyo...
ninacho maanisha mimi ni sawasawa na mtu mwenye mwili mdogo alafu akatembea barabarani na kawoshi/singrendi inayo onesha mikono na kifua.
Ama mwanadada mwenye miguu ya hilo kabila akavaa kimini kinacho ishia mapajani. Hawezi kuwa na show.

Vivyo hivyo kwa hivi vidude ni urembo ndio lkn lazima uzingatie sio kila mtu utampendezea.
unachosema kweli, katika pita pita zangu kuna mdada bonge kama tikiti kaonyesha ana mahaba nami, nkawa nampotezea siku ambayo shetani aliruhusiwa na Mungu, nikaingia kwenye kumi na nane zake aisee nilichokutana nacho, mtoto mwepesi kama nyoya na yupo fiti, aisee nkasema sidharau mtu tena. Heshima kwenu vibonge wa nje ndani wembamba
 
Back
Top Bottom