Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada


Did you sought the consent of these beautiful ladies before posting their photos? Kama hamna consent hiyo ni offense mkuu.....sema kwa huku kwetu tz mtu ukitolewa vile anaweza kukunulia bia jioni kwani umekuwa umemrusha...!!!
 
tena sivai mguu mmoja navaa yote miwili na kiunoni pia,mguu wa kuvalia ninao,kiuno pia ninacho,sitoi tigo wala voda fasta ni urembo tu kwangu I dnt think its a big dili to me!
 
ACHENI UGOMVI KILA KITU KINA SABABU SASA KWANI MNABISHA NINI ATATIZO LENU KUKASANA BONGO NDIYO MAANA MNABISHA VIKUKU KWAWEZUTU NI WATU WANAOTOA MAMBO YETU,TATIZO BONGO TUNAFANYA VITU BIRA KUJUA MANNA YKE NI NINI NI SAWASAWA KUFANANISHA SABHUSA NA BAGA:behindsofa:
 
tena sivai mguu mmoja navaa yote miwili na kiunoni pia,mguu wa kuvalia ninao,kiuno pia ninacho,sitoi tigo wala voda fasta ni urembo tu kwangu I dnt think its a big dili to me!

Mbona hawasemi heleni na Bangili??
 
tena sivai mguu mmoja navaa yote miwili na kiunoni pia,mguu wa kuvalia ninao,kiuno pia ninacho,sitoi tigo wala voda fasta ni urembo tu kwangu I dnt think its a big dili to me!


ila % kubwa ya wanaovaa vikuku ni machangu na wanaotoa hiyo tgo na voda fasta,
 
tena sivai mguu mmoja navaa yote miwili na kiunoni pia,mguu wa kuvalia ninao,kiuno pia ninacho,sitoi tigo wala voda fasta ni urembo tu kwangu I dnt think its a big dili to me!
hahaaaaaaaaaaa..... wote wanasemaga hivyohivyo, :LOL
 
wadada watakataa ila ukweli unabaki palepale asilimia kubwa wanaovaa mi machangu na wasnatoa uwani
 

tatizo la jamii yetu tumekuwa vilazaz kila sector

wake kwa waume , watu wanafanya mambo pasi kujua/kufanya utafiti maana yake nini...huu ni ukilaza na ni ukilaza huu unakuwa-extended mpaka kwenye sector nyingine za maisha yetu

Hatuta-waspoon feed kwamba maana yake nini,ukisikia jambo basi fanya utafiti , huyu mwanzilishi wa mada amekuja na assumption hiyo, kazi kwenu........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…