Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Uzuri hakuna mwanamke hata mmoja hapa JF anayepinga vikuku........ permitted!.....
 
Dah navaa sana! yani mavazi yangu ya siku hayajakamilika bila hicho kitu! Its saddening jinsi watu wanavokuwa na mawazo mgando juu ya jambo fulani mbona wanawake wengi sana wanavaa ina maana wote wanafanya hivo? na wanamtangazia nani kwa faida gani?

Huyo labda anapenda na mume yuko against duh! mume wangu anashiriki kuninunulia na huo ujinga sijawai hata kuuwazia! kwa msaada mtoa mada kuna thread huko nyuma zishaongelea sana hili suala mi hata sikuwai kucomment ila sasa naona mpaka inaboa wanaume (mnaoamini hivi) muache misimamo ya ajabuajabu na mambo ya kijiweni!
 
Mimi sivai kwa siri,naenda navyo mpaka ofisini na bwana'ngu anavipenda na juzi tu katoka kunichongeshea pure silver.
Inshort life is how you make it! Vikuku ni urembo kama urembo mwingine.
 
Tatizo la watanzania si wadadisi! Wakiona jambo wana adopt bila hata kufanya utafiti kidogo. Kwa mfano katika kupitia makala juu ya vikuku nimekutana na statement hii "In the book, "Culture Shock! India" the author claims that if you wear a ring on only one foot it means that you're a prostitute." Kila watu wana culture zao na maana ya mambo wanayoyafanya! Katika jamii zingine ukivaa kikuku mguu wa kushoto ina maana yake na ukivaa kulia pia ina maana yake na mtu akivaa miguu yotre pia ina maana yake; sehemu nyinge ikimaanasha "sexual oriantation" sasa hapa kwetu sijui kama ina maana yeyote na wanaovaa kama wanayajua haya!
 

dada si uende tu kuishi mombasa kama hapa bongo ni taabu kwako. huko ndo mahala pakeeeee!
 
hapo ni wazi waswahili wanachungulia tundu kubwa!
 
Nakubali ni urembo bt cmnajua pamambo yakizidi sana inakua kero.


Jamaa anaweza kua na mantiki kumkataza wife wake kutokana na mazingira,imezoeleka kuona madada wanaojiuza ndio moja ya dresng code so mume hataki wife wake wampotrait hvyo labda ndio sababu.Ni vyema wake mkawackiliza na kuenda sawa na wanavyotaka kuondoa tofauti kat yenu.
 
Siku vikuku vikikubaliwa kanisani au msikitini basi hakuna mjadala tena......😛eep:
 
Sign ya kwamba anatoa ndogo!!

Eti, hivi wapi na ni nani aliyesema kuwa uvaaji wa vikuku unaendana na utoaji wa tigo? Iyo iko kwenye katika ya nchi, au ni tamko la baraza la kiswahili tanzania, tamwa au..............................? Mana mi nionavyo kuvaa kikuku ni sawa na kuvaa cheni shingoni au hereni masikioni.

Au ni utamaduni wa magharibi?Kama kwa uatamaduni wa magharibi hiyo ndo maana yake, basi okay. Ila sioni kama kuna tatizo ktk hilo la vikuku! Wadada its your choice anyway! Tatizo ni pale we utakapovaa kawaida tu huku wenzio wakidhani we mteja wa tigo, loh!
 
Wapi imeandikwa kanisani au msikitini haviruhusiwi? niambiwe mana kanisani navaa kama kuna maandiko ntaacha! kuna viatu vinataka ukamilishe na kikuku ndo vinapendeza! wanaume wenye infriority complex ndo hawataki bora wamepata wake wa kufanana nao mana unapoolewa unajua mtu wako ni wa aina gani! hapo ndo pakuanzia nashukuru nilimpata wa kufanana nae anaheshimu nini napenda pia mana duh kuna watu wanajifanya wana misimamo aaargh!
 
Siku hizi kuf**a ni DEAL...! Kwa nini kila pambo la mwili lihusishwe na kuingiliwa kinyume na maumbile?
 
Sioni shida kama itakua ni pambo la kawaida

Ila huyo anaevaa kwa siri inaonyesha anasababu zake

Ni vyema huyo Mume akakaa na mkewe, wakaliongea hili kwa utulivu ili kama ni shida mke anayo waone jinsi ya kuitatua

Pengine huyo mke anaiga tu hata hajui hizo tafsiri za mijini
 
Navipenda vikuku, ila sijawa na ujasiri wa kuvaa kwa ajili ya tafsiri za watu; l wish watu wangebadili mtazamo.
 
nijuavyo kila kitu kina mwanzo wake na aliyeanzisha alikuwa na mantiki yake kuivaa,...japo nashindwa kuipata exactly thread kuna mdau aliwahi kuelezea chimbuko la vikuku na ndipo ilipotokea na maana ya hivyo vikuku kuvaliwa achilia mbali hizi shanga za wamasai zinazorundikwa nyingi miguuni mwenyewe ukitizama kuna utafauti.

Yamkini wenzetu kwa kuona flani (Rihana let say) kavaa kapendeza akiwa na maana yake ya kuvaa hivyo,na wewe unasema navaa hata kama wanasema hivi mimi mbona sifanyi, nononooo nyie wa pwani endeleeni kuvaa,mke wangu haruhusiwi kamwe wacha nibaki na uloko wangu,nitamtafutia mapambo mengine tu...
 
Navipenda vikuku, ila sijawa na ujasiri wa kuvaa kwa ajili ya tafsiri za watu; l wish watu wangebadili mtazamo.
nothing goes for nothing dadangu, nadhani tufatilie ni kwa nini walianza kutafsiri hivyo...
 


Vikuku ni mapambo tu - kama uonavyo wengine wanapenda kuvaa "hereni", wengine "bangili", wengine "shanga - shingoni au kiunoni" "pete" etc. etc. yote hayo ni mapambo kwa wanawake ..........Na hayakuanza leo - ukisoma vitabu hata cha Biblia - utaona VIKUKU vilivaliwa - tena kwenye mapambo ya kuwapa wachumba zawadi - VIKUKU vilikuwepo - na sio vikuku tu walivaa hadi "njuga"

Jamani katika mambo ya mavazi, kila mtu ana interest zake ...........nakupa POLE wewe unayemtawala mkeo hadi unamkatili nafsi yake kuvaa PAMBO analolipenda. LABDA NI KWELI WENGINE WAMETUMIA KUONYESHA ISHARA ZA STYLE ZAO ZA MAISHA ................ila ni HAO ...........KI UKWELI ........VIKUKU NI MAPAMBO TU KWA WANAWAKE ........ MBONA WANAUME NAO WANAVAA CHAIN?????????? SI MAPAMBO TU JAMANI???? MBONA WANAVAA TAI ........KWANI ZINA KAZI GANI............ PLEASE LET US NO COMPLICATE LIFE
ndio mtazamo wangu mie.:scared::scared::scared:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…