Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 473
Kiukweli inawezekana sio kitu cha ajabu,
Naungana na The Boss,ishu sio kuvaa ishu ni kwenda nazo shulen jaman!
Hivi kweli jaman ndio mila avae mzigo kiasi hicho?
Isitoshe mabint wa siku hizi wala hawanaga mpango na hizo mila huyo kavaa ana yake bwana!
Kulingana na maelezo! we hauna shanga! ngoja niendelee na research yangu!