Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WALA SI KWELI MM NAVAA NA WALA HAIUSIANI NA tigo ni urembo tu
Nimekusoma ni XGF wako akisepa kwako akiniimbia mimi utajuaje hatoi kisamvu?
Na kwa wanaume wavaao hizo cheni / shanga miguuni?
Ni mapambo tu. Hata X-gf wangu alikuwa anavaa lakini hana huo mchezo!
Ukija hapa kwetu tanga umevaa kikuku tutakufuata tunajua wewe unatoa tigo
Navyoona mimi tfsiri
halisi ya kwanini cheni imevaliwa mguuni anayo mvaaji mwenyewe!!
lakini pia inasemekana kuwa kitambo fulani hapo nyuma kuvaa cheni/shanga
mguu wa kushoto ni ishara ya kuhitaji kupitiwa kunako 'barabara ya
vumbi' ndo huku siku hizi mnaita tigo!! so wavaaji walifanya hivyo ili
'client' wanaoelewa wakikuta hivyo wasiulize ni swala la kufanya hilo
wanalolikusudia.,
Ila mtazamo wangu kwa hali ilivyo sasa naona hawa wavaaji wamegawanyka,
siriously kuna wanaovaa bado wakiashiria utoaji wa huduma hiyo! utakuta
kuna kajamii fulani ka wadada wapo ki mcharuko au kichanguchangu hivi
kama sio machangu kabisa kimuonekano wa juu hawajifichi! kuna wanovaa
wengine hasa hawa wadada wasomisomi kidogo waofisini wengi wao kama
mapambo bila kujali asili wala maana ya swalahilo, kuna wengine wanavaa
tu ilimradi hata hawaelewi ni kwanini wamevaa wanafata mkumbo tu!! so
ukweli halisi anaujua mvaaji!!