Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

il_fullxfull.261788694.jpg



Thanx BAK, yaani sichoki kuuangalia huu mguu lol, hapa mie mwanamke sijui nyie wanaume labda kwa vile macho yanatofautiana kutazama na kipenda ni roho, ila mmmh ningekuwa mwanaume huu ungekuwa udhaifu wangu kwa wadada. Siuoni mguu kwa juu ila ulivovalishwa kikuku aaaah mashallah!! I like it.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nijuavyo mie!wanaovaa cheni miguuni wanatoa mchezo wa bata!hakuna definition mpya amabayo imekubalika!kama ni demu wako,unamjua sana basi tambua wako wanomjua zaidi!Potea njia siku moja uone reaction itakuwaje,hata akikutosa ujue hataki umuache tu kwani sio mchezo rasmi!urembo gani wa kuvaa cheni mguuni?
 
Me naona ni urembo jmni japo other pipo wanadefine tofaut...
 
...Mkuu sakapal hili huitwa GUU na watoto wa mjini...utawasikia wakisema, "Umeliona Guu lile?" sasa likiwa ndani ya kimini na cheni basi ndio huvutia zaidi na kuwaacha wakaka wakilimezea mate.

Thanx BAK, yaani sichoki kuuangalia huu mguu lol, hapa mie mwanamke sijui nyie wanaume labda kwa vile macho yanatofautiana kutazama na kipenda ni roho, ila mmmh ningekuwa mwanaume huu ungekuwa udhaifu wangu kwa wadada. Siuoni mguu kwa juu ila ulivovalishwa kikuku aaaah mashallah!! I like it.
 
Last edited by a moderator:
...Mkuu sakapal hili huitwa GUU na watoto wa mjini...utawasikia wakisema, "Umeliona Guu lile?" sasa likiwa ndani ya kimini na cheni basi ndio huvutia zaidi na kuwaacha wakaka wakilimezea mate.

Guu la bia lolest, kweli napenda sana miguu hii ya bia na as u say inavutia hasa ndani ya min skirt au kwenye skirt ndefu ya jeans na inampasuo kwa mbele au nyuma unaoonesha mguu from chini tu juu ya goti kidogooo, we acha tuu, kungekuwa na miguu ya kichina kama watu wanavoweka hips na wowowo ningeweka kwa kweli nitupie na kikuku kwa pembeni yaani ningekuwa najifurahia menyewe heheheheeee
 
  • Thanks
Reactions: BAK
...Mhhhh! Haya banaa!!! mie sitii neno :majani7::majani7:

Guu la bia lolest, kweli napenda sana miguu hii ya bia na as u say inavutia hasa ndani ya min skirt au kwenye skirt ndefu ya jeans na inampasuo kwa mbele au nyuma unaoonesha mguu from chini tu juu ya goti kidogooo, we acha tuu, kungekuwa na miguu ya kichina kama watu wanavoweka hips na wowowo ningeweka kwa kweli nitupie na kikuku kwa pembeni yaani ningekuwa najifurahia menyewe heheheheeee
 
Aaa jamani,, ata mm navaa miguu yote miliwi,, na watu wanapenda tu kuongea sivyo ndivyo,,
 
Thanx BAK, yaani sichoki kuuangalia huu mguu lol, hapa mie mwanamke sijui nyie wanaume labda kwa vile macho yanatofautiana kutazama na kipenda ni roho, ila mmmh ningekuwa mwanaume huu ungekuwa udhaifu wangu kwa wadada. Siuoni mguu kwa juu ila ulivovalishwa kikuku aaaah mashallah!! I like it.
Yani we wacha tu mimi ndo zangu hizo nikiona mwanamke ana mguu mzuri kama huo najua wazi hata kule ikulu kuna mnato si wa kawaida 😛oa
 
Mwanamke anayevaa kikuku ni dalilili anatoa 0713 a.k.a 0655 hakuna uongo kama ni mkeo jiangalie mara 2 kama hujawahi kumuomba basi kuna **** mmoja anampakua 0713

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hakuna jibu ambalo ni applicable kwa watu wote, kila mtu huvaa kwa dhamira yake binafsi. Kwahyo ili kujua jibu mfate anayevaa ndo atakupa jibu kamili
 
Navyoona mimi tfsiri halisi ya kwanini cheni imevaliwa mguuni anayo mvaaji mwenyewe!!
lakini pia inasemekana kuwa kitambo fulani hapo nyuma kuvaa cheni/shanga mguu wa kushoto ni ishara ya kuhitaji kupitiwa kunako 'barabara ya vumbi' ndo huku siku hizi mnaita tigo!! so wavaaji walifanya hivyo ili 'client' wanaoelewa wakikuta hivyo wasiulize ni swala la kufanya hilo wanalolikusudia.,
Ila mtazamo wangu kwa hali ilivyo sasa naona hawa wavaaji wamegawanyka, siriously kuna wanaovaa bado wakiashiria utoaji wa huduma hiyo! utakuta kuna kajamii fulani ka wadada wapo ki mcharuko au kichanguchangu hivi kama sio machangu kabisa kimuonekano wa juu hawajifichi! kuna wanovaa wengine hasa hawa wadada wasomisomi kidogo waofisini wengi wao kama mapambo bila kujali asili wala maana ya swalahilo, kuna wengine wanavaa tu ilimradi hata hawaelewi ni kwanini wamevaa wanafata mkumbo tu!! so ukweli halisi anaujua mvaaji!!
 
...We endelea kujiremba wenye tafsiri zao za mtaani watajiju



Aaa jamani,, ata mm navaa miguu yote miliwi,, na watu wanapenda tu kuongea sivyo ndivyo,,
 
Last edited by a moderator:
Give us a picture to support your thread ,don't leave it hanging
 
Back
Top Bottom