Mmmh! Msije nifanya nimtafute nimuulize vizuri!! 🙂
Hakuna jipya, mii naona poa tu, ni sehemu ya urembo kwa dada zetu haina uhusiano na tigo wala zain!
Hahaahahah! Hebu tuulize, na wamasai na wahindi wanaovaa shanga miguuni ina maana wote wanaliwa tigo? 🙂
Lazima atakataa ila ukiwa naye kwenye 6 x 6 atajua wewe mjanja utapiga hiyo line reachable
Kwa lipi unakubaliana nasi??
Kama kwaida hawana noma!
Unanishawishi nimtafute tumbushie? 🙂
WALA SI KWELI MM NAVAA NA WALA HAIUSIANI NA tigo ni urembo tu
WALA SI KWELI MM NAVAA NA WALA HAIUSIANI NA tigo ni urembo tu
WALA SI KWELI MM NAVAA NA WALA HAIUSIANI NA tigo ni urembo tu
kweli ni urembo tu hakuna lolote ..
Duh kumbe na wewe Pearl una kikuku natamani nikione.
Baelezee bandugu baelewe!
Bila shaka ujajibu PM zangu na tuttafutana!
nabaelezea habaelewi,Mupe Bia Maski bill kwangu,basio baelewa murukeeeeeeeeeee
Lazima nikutwangie namba zangu ni 0713..........namalizia kwenye PM wanaume wavaa cheni miguuni wasije haribu jukwaa
na ww unataka nn?bia?Mupe bia Masanilo bill kwa masaki,ah ah ah
na ww unataka nn?bia?Mupe bia Masanilo bill kwa masaki,ah ah ah
Hahahahah haya baby Masa akitaka tiGo ampigie Pearl??????????????????