Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

umeona eeeeeeeeeh!!!! eti ukivaa unagawa tigo huu says!!!!

Na kuna mademu kibao hawavai lakini wanagawa tigo utadhani siyo ya kwake, yaani kama vile kaazima kwa jirani! 🙂 🙂
icon10.gif
 
Ushanga wa kiunoni nao? Nasikia unaleta raha fulani....

huko ndo ma verrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr sore!!! not my thing!!!!!!!!!!!! tena ushanga!!!! yak balozi uchicheme kwa sauti
 
Na kuna mademu kibao hawavai lakini wanagawa tigo utadhani siyo ya kwake, yaani kama vile kaazima kwa jirani! 🙂 🙂
icon10.gif

hahaaaaaa lol!!! sio wote waitao Rabi Rabi watauona ufalme wa mbinguni babaa!!!!
 
Ushanga wa kiunoni nao? Nasikia unaleta raha fulani....

Dah mi shanga nazifeel sana awe amevaa mbili au 3 lakini sio mzigo wa shanga hapo kero sasa. Nazo zina raha yake kunako lakini hiki kikuku sioni umuhimu wake zaidi ya ID.
 
Na kuna mademu kibao hawavai lakini wanagawa tigo utadhani siyo ya kwake, yaani kama vile kaazima kwa jirani! 🙂 🙂
icon10.gif

Naomba contact zao ninataka fanya karesearch kadogo!
 
Ungeuzia cheni ya kiunoni kwa kuwa ushanga ni wa asili. Je cheni ya kiunoni nayo inaashiria nini?

Hapa mpwa ukimpata mtoto wa TA au kanda ya kati hapo avae hii kitu dah we acha tu unaweza usimalize round kama sio mzoefu.
 
Hivi usipo vaa unajisiakiaje? Na ukikivaa vilevile unajisikiaje?

hata earings kuna siku huwa sivai.....ni urembo tu so nikivaa najiskia nimeongeza nakshi kwenye urembo wangu....
 
Naomba contact zao ninataka fanya karesearch kadogo!

Nitazitoa wapi? ''Source'' yangu ni stori za kijiweni mkuu, ili raundi za bia ziendelee kuzungushwa, lazima kuwe na stori kama hizo!
 
Dah mi shanga nazifeel sana awe amevaa mbili au 3 lakini sio mzigo wa shanga hapo kero sasa. Nazo zina raha yake kunako lakini hiki kikuku sioni umuhimu wake zaidi ya ID.

see the difference now??? Fidel akiwa soba bwana....hamna mchezo
 
Hapa mpwa ukimpata mtoto wa TA au kanda ya kati hapo avae hii kitu dah we acha tu unaweza usimalize round kama sio mzoefu.

Nahisi kwa sababu ya complexion yao, inaendana na rangi ya cheni (dhahabu) kwa hiyo inapendezesha sana kiuno! 🙂
 
Kama mwanamke anavaa na hatoi tIGO, basi ajue kuwa hajakutana na "Masa" type otherwise kuvaa cheni mguuni ni ishara/dalili kuwa genetically you are sexually "skewed" a.k.a ?
 
see the difference now??? Fidel akiwa soba bwana....hamna mchezo

Hehehehe nikikwambia uniombe msamaha utaweza?
Utanipa faini tukionana angalau Nguli kubwa 2.
 
Back
Top Bottom