Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Nitazitoa wapi? ''Source'' yangu ni stori za kijiweni mkuu, ili raundi za bia ziendelee kuzungushwa, lazima kuwe na stori kama hizo!

Next time mtu akizusha hiyo stori muombe namba ya tiGo ya mlengwa kimachale then niPM, kufunga safari kutokea Kyela mimi haina shida
 
Nahisi kwa sababu ya complexion yao, inaendana na rangi ya cheni (dhahabu) kwa hiyo inapendezesha sana kiuno! 🙂

Hahahaha lakini umewahi onja wale wanao vaa hizo? vp yule X-GF alikuwa wa wapi?
 
Next time mtu akizusha hiyo stori muombe namba ya tiGo ya mlengwa kimachale then niPM, kufunga safari kutokea Kyela mimi haina shida

yesu wangu loh!!!!!!!!!!!
 
Kama mwanamke anavaa na hatoi tIGO, basi ajue kuwa hajakutana na "Masa" type otherwise kuvaa cheni mguuni ni ishara/dalili kuwa genetically you are sexually "skewed" a.k.a ?

Baba_Enock kuna ushahidi wowote wa Kisayansi hapo?
 
Kwa wachache niliobahatika kuingia anga zao, ni kweli ukiona cheni mguuni ufikapo kunako nafasi jaribu kama unakuna lile jicho hivi, utaona tu access granted with a lot of pleasure. Lakini pia kuna waliovamia tu cheni za mguuni wakidhani ni fasheni, hao ndio wanaopata shida wanapokutana na anaelewa hii ishara.
 
Kama mwanamke anavaa na hatoi tIGO, basi ajue kuwa hajakutana na "Masa" type otherwise kuvaa cheni mguuni ni ishara/dalili kuwa genetically you are sexually "skewed" a.k.a ?

Happy New Year!
 
Kwa wachache niliobahatika kuingia anga zao, ni kweli ukiona cheni mguuni ufikapo kunako nafasi jaribu kama unakuna lile jicho hivi, utaona tu access granted with a lot of pleasure. Lakini pia kuna waliovamia tu cheni za mguuni wakidhani ni fasheni, hao ndio wanaopata shida wanapokutana na anaelewa hii ishara.

Hahahahha MTU B wewe unauzoefu, umeandika ukweli kabisa kabisa wengine huparamia mitunduru bila kujua ina miiba
 
Hahahaha lakini umewahi onja wale wanao vaa hizo? vp yule X-GF alikuwa wa wapi?

I am talking from experience! And it drives me crazy. Kuna girlfriend mmoja wa rafiki yangu alikuwa ana tabia ya kuvaa visuruali na kitopu, halafu cheni ya kiunoni inaonekana! Ilibaki kidogo tu nimwonye kwamba nanikwaza na kunitia majaribuni. Bahati nzuri alibadilisha mtindo wake wa mavazi kabla sijampa hilo onyo! 🙂 Nahisi hata jamaa yake aligundua hilo akamuonya! 🙂
 
Kama mwanamke anavaa na hatoi tIGO, basi ajue kuwa hajakutana na "Masa" type otherwise kuvaa cheni mguuni ni ishara/dalili kuwa genetically you are sexually "skewed" a.k.a ?

you are entitled to your opinion!!!!!!!!!!!!
 
masanilo niPM ID ya masaki ya zamani plz!!!

Asikupe pressure huyo sijawahi kubadili ID, kama huwa sibadili namba ya simu kwa miaka nenda rudi, ndiyo nije nibadili ID ya mtandaoni? Kwa lipi hasa?
 
Back
Top Bottom