Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 754
kweli ni urembo tu hakuna lolote ..
Tuambie basi kama pia unavaa ili uwatoe watu wasiwasi hapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli ni urembo tu hakuna lolote ..
Eti anataka akufuate PM kisa unavaa cheni ya mguuni.... 🙂
no comment
no comment
ww tu mm alwaz availabo
hehehe nitakutafuta hapo salenda briji lakini mchango wangu nimewakilisha tayari utaniona kwenye Luninga tunakabidhi ijumaa.
mmmmh changa la macho hiloooooooooooo
Peal muruke Masanilo, hapo tu hajalewa je akilewa si inakuwa balaa! Tatizo mechi za Uswazi anazipenda sana!
We sema changa la macho muulize Sanctus au Maxence kama sijawakilisha. Watu tuna miahadi ya ukweli sio uswhili uswahili mwingi kuliko utekelezaji. Hebu gonga shukrani hapo.
Tuambie basi kama pia unavaa ili uwatoe watu wasiwasi hapa!
Thx kwaiyo na ww unanijibu zenkyu???????
Shukrani Inshallah
wasiwasi wa nini??
eeeeeeeeeh mnb huhanigongea?
Mie navaaa kwa takribani 8 years now!!! kwangu mimi ni uembo tu na haina maana nyingine!!!!Imean idadi ya wadada wataosema kwamba wanavaa na haina uhusiono ikiongezeka, inaondoa huo wasiwasi/mtazamo hasi kuhusu cheni za miguuni.
niiiiiiiiiiiiiiiiiiiiice n cutie!!!!
Mie navaaa kwa takribani 8 years now!!! kwangu mimi ni uembo tu na haina maana nyingine!!!!
you can say watever you want but the truth is that!!!!!