Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

mmmmh changa la macho hiloooooooooooo

We sema changa la macho muulize Sanctus au Maxence kama sijawakilisha. Watu tuna miahadi ya ukweli sio uswhili uswahili mwingi kuliko utekelezaji. Hebu gonga shukrani hapo.
 
Hii ya vikuku na vibata imeshajadiliwa sana hapa, labda itakuwa vizuri MODS waichanganye hii na ile original thread.
 
Thx kwaiyo na ww unanijibu zenkyu???????
We sema changa la macho muulize Sanctus au Maxence kama sijawakilisha. Watu tuna miahadi ya ukweli sio uswhili uswahili mwingi kuliko utekelezaji. Hebu gonga shukrani hapo.
 
Ni urembo tu japo 60% ya wanaovaa cheni mguu wowote wanatoa TIGO kinamna!
 

Attachments

  • Vikuku.jpg
    Vikuku.jpg
    16.9 KB · Views: 335
wasiwasi wa nini??

Imean idadi ya wadada wataosema kwamba wanavaa na haina uhusiono ikiongezeka, inaondoa huo wasiwasi/mtazamo hasi kuhusu cheni za miguuni.
 
eeeeeeeeeh mnb huhanigongea?

Tayari nimekupa haki yako mama.
Alafu kitu kingine nakuomba uchangie angalau JF kitu chochote kuna thread hapa ngoja niitafute ya changia JF mkono mtu haulambwi changia kitu chochote ulicho nacho.
 
Imean idadi ya wadada wataosema kwamba wanavaa na haina uhusiono ikiongezeka, inaondoa huo wasiwasi/mtazamo hasi kuhusu cheni za miguuni.
Mie navaaa kwa takribani 8 years now!!! kwangu mimi ni uembo tu na haina maana nyingine!!!!

you can say watever you want but the truth is that!!!!!
 
Mie navaaa kwa takribani 8 years now!!! kwangu mimi ni uembo tu na haina maana nyingine!!!!

you can say watever you want but the truth is that!!!!!

Hivi usipo vaa unajisiakiaje? Na ukikivaa vilevile unajisikiaje?
 
Back
Top Bottom