Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
hahaaaa msanii wa bongo fleva weeeeeeeeeeee
Kuna mdau kanitumia picha yako ...unacheka kweli kweli....mambo yako si mabaya tiGo wamo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaa msanii wa bongo fleva weeeeeeeeeeee
Asikupe pressure huyo sijawahi kubadili ID, kama huwa sibadili namba ya simu kwa miaka nenda rudi, ndiyo nije nibadili ID ya mtandaoni? Kwa lipi hasa?
kuna mdau kanitumia picha yako ...unacheka kweli kweli....mambo yako si mabaya tigo wamo....
kakuweza kweli huyo!!!!!!!
Mimi ningetaka kufahamu yakwamba utamaduni huo wa kuvaa vile ulianzia wapi?ukimaanisha nini?hapa umeigwa ulivyo ama kuna kuuweka katika mazingira ya kitanzania?na kuna njia ya kujua kuwa mvaa shanga mguuni wanampumulia kisogoni ama la ?je hawapo wasiovaa walio na hali hiyo ya kuhitaji kupumuliwa kisogoni?tatizo hili kwa lugha ya utafiti laweza kuwa researcheable? Wavaaji mkiwauliza nawewe mkuu mwenye ex g/f mkiwauliza wanasemaje?
Sababu nakuheshimu na kuogopa mile sheria ya mwaka 1983 sintaizungumzia.
Nawe pia Mkuu,
Wasalimie huko Kyela
ni-PM SHERIA hapo itakuwa silent
Ethically will be haunting me.......ila nadhani unaweza kuhisi nani amenitumia....be happy wont be misused
atakuwa kakudanganya huyo si mimi!!!!
you are entitled to your opinion!!!!!!!!!!!!
Haina shida kabisa! Maana alifail course ya DS 300 ya kusema uongo chuoni, I trust him 1000 times
WALA SI KWELI MM NAVAA NA WALA HAIUSIANI NA tigo ni urembo tu
nilimchukua binti wakati fulani tukafika gest na kabla ya mchezo kuanza ananiambia, "nataka ku.nya" nikamwambia nenda. wala hakwenda ila badaeeeeee nikaja kujua
Teh teh teh! Unanikumbusha rafiki yangu mmoja aliambiwa "nipeleke ******". Si akaamka akachukua tochi akamwambia dem twende.nilimchukua binti wakati fulani tukafika gest na kabla ya mchezo kuanza ananiambia, "nataka ku.nya" nikamwambia nenda. wala hakwenda ila badaeeeeee nikaja kujua
umevaa mguu gani wangu
Ni mapambo tu. Hata X-gf wangu alikuwa anavaa lakini hana huo mchezo!