Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Mimi ningetaka kufahamu yakwamba utamaduni huo wa kuvaa vile ulianzia wapi?ukimaanisha nini?hapa umeigwa ulivyo ama kuna kuuweka katika mazingira ya kitanzania?na kuna njia ya kujua kuwa mvaa shanga mguuni wanampumulia kisogoni ama la ?je hawapo wasiovaa walio na hali hiyo ya kuhitaji kupumuliwa kisogoni?tatizo hili kwa lugha ya utafiti laweza kuwa researcheable?wavaaji mkiwauliza nawewe mkuu mwenye ex g/f mkiwauliza wanasemaje?
 
Asikupe pressure huyo sijawahi kubadili ID, kama huwa sibadili namba ya simu kwa miaka nenda rudi, ndiyo nije nibadili ID ya mtandaoni? Kwa lipi hasa?

OK!!!!
 
Mimi ningetaka kufahamu yakwamba utamaduni huo wa kuvaa vile ulianzia wapi?ukimaanisha nini?hapa umeigwa ulivyo ama kuna kuuweka katika mazingira ya kitanzania?na kuna njia ya kujua kuwa mvaa shanga mguuni wanampumulia kisogoni ama la ?je hawapo wasiovaa walio na hali hiyo ya kuhitaji kupumuliwa kisogoni?tatizo hili kwa lugha ya utafiti laweza kuwa researcheable? Wavaaji mkiwauliza nawewe mkuu mwenye ex g/f mkiwauliza wanasemaje?

Ni urembo tu! Andaa hela ya bia niwakusanye kama wanane hivi weekend tukae nao, na cheni zao za miguuni uwahoji vizuri! One of them is my cousin na anaongea sana. Watakupa hayo majibu yote unayoyataka!
 
ni-PM SHERIA hapo itakuwa silent

Ethically will be haunting me.......ila nadhani unaweza kuhisi nani amenitumia....be happy wont be misused. Jamaa alikupiga picha na camera ya simu yake
 
nilimchukua binti wakati fulani tukafika gest na kabla ya mchezo kuanza ananiambia, "nataka ku.nya" nikamwambia nenda. wala hakwenda ila badaeeeeee nikaja kujua
 
nilimchukua binti wakati fulani tukafika gest na kabla ya mchezo kuanza ananiambia, "nataka ku.nya" nikamwambia nenda. wala hakwenda ila badaeeeeee nikaja kujua


ulikuja kujua nn mkuu mbona unatuchanganya
 
nilimchukua binti wakati fulani tukafika gest na kabla ya mchezo kuanza ananiambia, "nataka ku.nya" nikamwambia nenda. wala hakwenda ila badaeeeeee nikaja kujua
Teh teh teh! Unanikumbusha rafiki yangu mmoja aliambiwa "nipeleke ******". Si akaamka akachukua tochi akamwambia dem twende.
 
Back
Top Bottom