Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

wengine wanasema ni ishara ya wanawake wanaogawa tigo
wengine wanasema ni ishara ambayo wanawake machangudoa wanavaa miguuni ili kuonyesha kwa wateja wao mara wakiwa katika siku zao! kwahiyo wateja wakiona hizo shanga hawawasumbui kuomba ngono! mara wamalizapo siku zao huzitoa na kuendelea na biashara kama kawaida!

Note: kwa wanaotumia lipstick nyekundu
ni ishara ambayo wanawake machangudoa wanavaa miguuni ili kuonyesha kwa wateja wao mara wakiwa katika siku zao! kwahiyo wateja wakiona hizo shanga hawawasumbui kuomba ngono! mara wamalizapo siku zao huzitoa na kuendelea na biashara kama kawaida!

 
Bado hapo mi naona ni myth tu! ishu inabaki kuwa ni urembo tu kama urembo mwingine...siye ndo tunawatafsiri vibaya

kwa mwanaume mwneye akili timamu hawezi kumtafsiri mdada anayevaa kikuku kuwa anatoa tigo

hapa mbona watu wengine wanatoa tigo na hawavai hivo vikuku?

Mi binafsi napenda kuangalia uumbaji so anayekuwa amekivaa afu ana mguu unaoendana nacho basi huwa namfagilia kwa sana tu! Thanks Mrs wangu naye yumo!

Lovely comment B
 
'''Zamani ilikuwa ukivaa mguu wa kushoto unaliwa jicho la samaki na ukivaa mguu wa kulia ni daima mbele tu. Siku hizi ni urembo tu hakuna jipya'''.


mi nadhani 1+1 =2,kwa hiyo kwa maelezo yako hapo manake akivaa miguu yote atakuwa aliwa kama samaki!!ukimaliza upande mmoja unamgeuza upande wa pili uliokuwa umelalia sahani!!!!ni mtizamo tu!!
 
Tuwasamee tu hawa sababu hawajui walifanyalo,wanaishi maisha ya kukopi na ku paste,wakiona akina Oprah wanavaa hiki nao wataiga bila kujua sababu yake,tuwaache tu waendelee na upofu wao!!Hivi hamjiulizi tumerithi wapi tamaduni hizi,mbona bibi na babu zetu hawakuzipitia,babu hakuvaa heleni wala bibi kikuku!!
 
kwani shanga zimetokea wapi?kwa kina opra?
Tuwasamee tu hawa sababu hawajui walifanyalo,wanaishi maisha ya kukopi na ku paste,wakiona akina Oprah wanavaa hiki nao wataiga bila kujua sababu yake,tuwaache tu waendelee na upofu wao!!Hivi hamjiulizi tumerithi wapi tamaduni hizi,mbona bibi na babu zetu hawakuzipitia,babu hakuvaa heleni wala bibi kikuku!!
 
Wanaovaa hivyo,wengi ni watoa kisamvu! Wachache wanavalia urembo.
Wengi wana chama chao ambamo husaidiana mambo anuai, nitaje jina la chama?
 
Na kwa wanaume wavaao hizo cheni / shanga miguuni?


Yes nilishikwa na butwaa siku mmoja nilipokutana kidume amabye katu hana historia ya ushoga ame tinga cheni ya mguuni; Mume wa mtu mzee nusura nipatwe na kihoro! Bahati mbaya mkewe ninamheshimu kama dada yangu! Nilijisikia vibaya mno na sikuweza kupata ujasiri wa kuuliza!😡😡😡😡
 
Ni kweli inapendeza miguuni mwenu kina dada namai nitamshauri mama chanja aive lakini kwa kuzingatia ni mahali gani atapita! Asanteni kwa maushauri
 
Ni mapambo tu. Hata X-gf wangu alikuwa anavaa lakini hana huo mchezo!


Sawa sasa mkuu kama wewe ni mtoto mwema ujue kuna jamaa walikuwa wanakula tigo, Ila hongera kwa kutokula ila ujue wenzio wanakula si lazima iwe wewe!
 
Huu ni urembo wa kina mama. aina ya urembo huu nimeshuhudia hadi great grand mother wangu akitumia jee tuseme naye alikuwa tigo??
Kwa ukanda wa pwani huu ulikuwa ni urembo wa kina mama vinaitwa vikuku na vilikuwa aidha vya dhahabu au silva. Urembo mwingine ulikuwa kutoga pua na kuweka kipini cha madini ya dhahabu au silva. Masikioni pia. Lakini nadhani kwa bara inawezekana hizo shanga za miguuni lakini yote ni utamaduni ambao umekuwepo kwa karne na karne. Kwa nina mama wa sasa haya ni marejeo tuu kwani ukiangalia sana hizi fasheni zinakwenda na kurudi katika vipindi mbalimbali vya maisha.
 
Wana JF,

Nini Madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu,

1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia
2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia au yote kwa pammoja
3: Na mwisho ni Shanga za kiunoni.

Je waona je vyapoteza maana halisi kwa wanao vaaa hole hole hole au?

Maoni yako tafadhali changia
 
Mdau mimi kwa kweli, vyote sioni km vina maana, hasa wanaotoboa kwenye pua, hakuna mvuto wowote ninaouona pale na hayo ma chachandu najionea uchafu tu, heri hata my wife sikumkuta akivaa hayo ma shanga
 
Wana JF,

Nini Madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu,

1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia
2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia au yote kwa pammoja
3: Na mwisho ni Shanga za kiunoni.

Je waona je vyapoteza maana halisi kwa wanao vaaa hole hole hole au?

Maoni yako tafadhali changia
Hayo yote ni jumla ya mapambo ya Wanawake, haya maana yoyote ile zaidi ya kinamama katika kujipara na kujishauwa kwao na mapambo ya dhahabu na fedha.
 
Back
Top Bottom