Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,630
- 1,945
Hayo mashanga ni uchafu tu. Yanamfanya mwanamke aonekane kama mganga wa kienyeji....yamekaa kama hirizi....
Kwe kweli hata mie mishanga hainitoi. Especially nikikutana na mdada aliyeshika kitabu kidogo kavaa mishanga naanza kumrudisha kwa wale wenye fikra za kienyeji enyeji, uswahili swahili. Infact I feel mistaken or miscalculated , then I ignore everything .