Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Mdau mimi kwa kweli, vyote sioni km vina maana, hasa wanaotoboa kwenye pua, hakuna mvuto wowote ninaouona pale na hayo ma chachandu najionea uchafu tu, heri hata my wife sikumkuta akivaa hayo ma shanga
Hayo mashanga ni uchafu tu. Yanamfanya mwanamke aonekane kama mganga wa kienyeji....yamekaa kama hirizi....