hivi vikuku vimenipita kushoto
Sio kweli dada kuna watu kibao wanavaa vikuku hawana hizo tabia, mie mwenyewe ninavitupiaga some times lakini sijawahi hata kujalibu kufanya hivyo ila kuna jirani yangu mmoja anavipinga kweli na kuvitafsiri kama unavyotafsiri wewe, anafanya mambo hayo kama hana akili nzuri maana ina fika wakati tuajiuliza sana
[/QUOTE]Loading...[.QUOTE=miss strong;10239234]Nna vaa kama urembo....guu la shoto
Nna vaa kama urembo....guu la shoto
Huyu ninaemuona hapa kairuki hospital amekivaa guu la kilia
Na wewe mwanaume unavaa cheni shingoni na mikononi ina faida gani?
Muite hapo fasta umuulize