hereni maskioni, wengne vpini puani, bangili na wengne hadi kacha mikononi, pete vidolen, cheni shingoni, shanga viunoni, vikuku miguuni! Kila kiungo kina urembo wa ziada kwa wanawake!!
Hata kama haina maana mbaya ila coz tayar inatafcriwa vbaya na watu weng czan ka ni busara mdada kuvaa kikuku
Vyoote ulivyovitaja vimezoeleka na muda sasa tumevizoea kama urembo kwa akina dada/kina mama toka enzi hizooo!Ila hili la vikuku naona limekuja ghafla na kuenea kwa kasi sana,fungukeni wadada.
Nna vaa kama urembo....guu la shoto
Sina uhakika na hili. Huwa nasikia kwamba wakivaa miguu yote kwamba yeye ni ruksa kutoa kote kote. Yaaan front and back. Akivaa mguu mmoja tu maana ni anatoa front tu. Sina uhakika zaidi.
Mashalah sipati picha unavyo pendeza
Vyoote ulivyovitaja vimezoeleka na muda sasa tumevizoea kama urembo kwa akina dada/kina mama toka enzi hizooo!Ila hili la vikuku naona limekuja ghafla na kuenea kwa kasi sana,fungukeni wadada.
Ni mapungufu flani ya akili naona kuvaa while wajua jamii inavochkulia cvo
Teh teh sana.....sema siku moja nilikivaa nikapita maeneo ya mapipa basi balaa ilikuwa looooh
Ndo maana hawafumiani hadharani wananjungana rum hko au mafchoni..means hvi vtu vipo but co vya kuvaa kweupeee hadharn..Jamii ipi? hii hii inayojenga maguest house ili watu wafumuane?
Ilikuwaje...
hereni maskioni, wengne vpini puani, bangili na wengne hadi kacha mikononi, pete vidolen, cheni shingoni, shanga viunoni, vikuku miguuni! Kila kiungo kina urembo wa ziada kwa wanawake!!
Kama umeshawahi pita maeneo ya kule basi wale watu wa SMZ wamejaa....basi nilipokuwa nikipita wanasema mashallah mtoto mzur.
Hongera mjomba...mara muungano udumishwe.Loooh
I am sure na wewe waliisoma namba.ulilitikisa hadi mwisho
Asiejua maana haambiwi maana