abee!!!!
hujambo....?
Kwani hiyo picha ya mguu wenye shanga unadhani ni ya nani
Shkamoo
yanini hiyo... kwani kuna kitu unataka uniombe, au unataka uninyime kitu...? hebu sema.....
Mlango hawaufungi?ki-stereotype: kama kavaa miguu miwili ni kuonyesha kwamba hata mlango wa nyuma uko waz.... (wengi husema hivyo)
Huku kwetu ukivaa hivo vicheni na.vikuku maana ake unauza 0713.....
Tena muguu yote maana ake halis unatoa kote kote ukivaa mmoja pekee unatoa nyuma pekee
Kwenu wapi Mamaafacebook?
hahaha unarudishiwa kidizain....Mlango hawaufungi?
nasema unused....
picha ya nini....
Yaa vipi nikukatie?
Hapana usiikate.
Ila una tumiguu tuzuri sana..:A S 11:
Nithibitishe.