Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Hata akina mama watu wazima nao wanapendelea kuvaa vihen
attachment.php
 
Kwa sababu gani? Pete ya mguu ina maana gani kwani?

Ndo maana wanakushangaa
Pete ya mguuni nayo inamaana yake Kibongo bongo usije ukakuta watu wanakushangilia mitaa ya kati
 
Vikuku ni urembo tu hata mai wife anavaa mara moja moja tena kikuku cha gold yaani huwa napendeza kama huyo mrembo wa chini...
 
Wengi tunavaa naamini ni pambo tu katika mwili wa mwanamke ni sawa na kuvaa earrings,chain ya shingo etc. Sioni kama inabeba maana nyingine yeyote.
 
Ndo maana wanakushangaa
Pete ya mguuni nayo inamaana yake Kibongo bongo usije ukakuta watu wanakushangilia mitaa ya kati

Bro hebu nambie kidogo, kutakuwa na mantiki gani mtu kujitangaza kwamba ana tabia mbaya kama hiyo na hasa hasa kwetu Wabongo? Naona ni tafsiri potofu tu.

hahaha @watu wanakushangilia

haya bwana

Hata mimi sijapata picha kabisa. Yaani mwizi ajipige lebo ili kila atakapopita wamjue? Sielewi.
 
Kuna demu niliachana nae kisa alikuwa napenda kuvaa mguu wa kushoto vijana wa kitaa wanasema maana yake ni TIGO DONOR
 
Kwa sisi wazoefu tuna angalia mguu upi umevaa.
Ukivaa mguu flani najua ni full kujiexpress wala sina haja ya kuuliza nikuzama tu kwenye tope

Hivi Fidel80 hujaelewa tu kuwa wanatangaza biashara, sema tu ulimi unakuwa mzito kusema!ndo maana kwa wanaojua hiyo lugha hawana haja ya kuuliza mara mbili!kisamvu cha kopo, kwishney!
 
I personally think that things change with time...kama kina mswati wanavyotafuta wake in the name of tradition n culture ndo ambavyo watu wengine wanaenda kuangalia the girls kama cinema flani..few have destorted the meaning of those ornaments these days..na kama you feel good wearing them,its fine..kama mswati anavyoendelea kupata wake.all ni culture na consciuos
 
Kuna tetesi zimeenea mitaani kuwa wengi wa wavaaji wa kikuku "cheni mguuni" kwamba wanatoa ule mtandao wa robo shilingi. Je kuna ukweli wa hii kitu? :help::help:

*****Nawasilisha*****
 
Back
Top Bottom