Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Neno lako ni US baby

USA baby
upload_2016-6-18_5-58-50.png
upload_2016-6-18_5-58-51.png
upload_2016-6-18_5-58-51.png
upload_2016-6-18_5-58-52.png
upload_2016-6-18_5-58-52.png
upload_2016-6-18_5-58-53.png
upload_2016-6-18_5-58-53.png
upload_2016-6-18_5-58-54.png
 
araf kiimani (nguvu za giza)
kuvaa shanga kiunoni kunaratibu mambo mengne kabisa
nawashauri wadada wasiwe wanajivalia rangi rangi na idadi isioleweka wanajitengenezea matatizo araf wanakuja wanalalamika
moja ya tatizo ni KUZUIA UJAUZITO kwa mwanamke
 
Habari za Mwisho wa wiki wana jamaa...

Napenda kuwasalimu nyote, na kila mmoja katika imani yake...
Baada ya salamu naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama inavyojieleza.

Imekua kama fasheni kukuta wadada wametupia zigo la shanga kwenya mauno yao, sasa huwa najiuliza je wanafahamu kua wazee wetu walizitumia kuwasiliana na wenza wao??

Nilikua najua niurembo tu ila siku moja mzee mmoja katika maongezi walipita wadada hatareeee... shanga kiunoni kama mzinga wa nyuki, story zikaanzia hapo.

Mzee: Ulishawahi kukutana na mwanamke mwenye shanga na unajua nini maana yake?
Mimi: Hapana mzaa, (huku nikiwa na shahuku ya kujua) kwani zinamaana gani?
Mzee: Zamani izo zilikua zinavaliwa kwa sababu maalum na kwa njia ya kuwasiliana, wamama walivaa shanga za aino tofauti kutoa ujumbe tofauti kwa waume zao.
Mimi: Inakuaje hapo? Walikua wanatumiaje?
Mzee: Kwa mfano; Mwanamke akiwa hedhi, alivaa shanga NYEKUNDU na hapo mumewe alikua anajua kua leo hakuna mchezo.
Mimi: Mmhm...
Mzee: NJANO zilikua zinaashiria huko kwenye kumaliza safe zone na kukaribia hedhi
KIJANI zilimaanisha yuko tayari kupata mtoto... (Fertilization)
NYEUPE alikua anamaanisha kua anahamu ya kufanya tendo kwa kuenjoy za kwa mda zaid.
NYEUSI ilikua inamwambia mwanaume asijaribu kuomba game japo yupo safe zone

Izi zilitumika kutokana na HESHIMA waliyokua nayo wazee wetu ilikutotumia maneno tofauti na kizazi cha sasa ambapo watoto wa miaka 12 kuongelea swala la ngono ni jambo la kawaida kabisa..

"Sasa nini nikawanajiuliza, hizi dada zetu wa leo, Je mnafahamu haya? Au Mzee aliniambia tuu sababu sikua na ufahamu wa hili jambo"

Wajuzi wa mabo naombeni maono yenu katika hili na pia mtujuze zaidi...

Ahsanteni.
Prof. Kabudi mtaalam wa Sheria za Ndoa nakumbuka alishawahi zungumzia hili hasa hapo kwenye rangi nyekundu na nyeupe.

[emoji3] dada zetu ni Ngono kunoga unaonja Utakavyo
 
heeeee wadada mpoooooooooooooooooooooooooo????????????? mnayajua haya yanayosemwaaaaaaaaaaaaaaaa au ninyi ni watu wa kizazi cha dijitaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii???? kuna baadhi nimewafunua viuno vyao vimewekeza shanga nyngi kweli kweli hata kutofautisha kuwa rangi fulani inawakilisha neno gani kwa mwanaume hakuna sasa sijui wanavaa kuvutia tu?
 
Huwa hata hawanivutii, yawezekana nina matatizo nazo labda
 
Habari za Mwisho wa wiki wana jamaa...

Napenda kuwasalimu nyote, na kila mmoja katika imani yake...
Baada ya salamu naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama inavyojieleza.

Imekua kama fasheni kukuta wadada wametupia zigo la shanga kwenya mauno yao, sasa huwa najiuliza je wanafahamu kua wazee wetu walizitumia kuwasiliana na wenza wao??

Nilikua najua niurembo tu ila siku moja mzee mmoja katika maongezi walipita wadada hatareeee... shanga kiunoni kama mzinga wa nyuki, story zikaanzia hapo.

Mzee: Ulishawahi kukutana na mwanamke mwenye shanga na unajua nini maana yake?

Mimi: Hapana mzaa, (huku nikiwa na shahuku ya kujua) kwani zinamaana gani?

Mzee: Zamani izo zilikua zinavaliwa kwa sababu maalum na kwa njia ya kuwasiliana, wamama walivaa shanga za aino tofauti kutoa ujumbe tofauti kwa waume zao.

Mimi: Inakuaje hapo? Walikua wanatumiaje?

Mzee: Kwa mfano; Mwanamke akiwa hedhi, alivaa shanga NYEKUNDU na hapo mumewe alikua anajua kua leo hakuna mchezo.

Mimi: Mmhm...

Mzee: NJANO zilikua zinaashiria huko kwenye kumaliza safe zone na kukaribia hedhi
KIJANI zilimaanisha yuko tayari kupata mtoto... (Fertilization)
NYEUPE alikua anamaanisha kua anahamu ya kufanya tendo kwa kuenjoy za kwa mda zaid.
NYEUSI ilikua inamwambia mwanaume asijaribu kuomba game japo yupo safe zone

Hizi zilitumika kutokana na HESHIMA waliyokua nayo wazee wetu ilikutotumia maneno tofauti na kizazi cha sasa ambapo watoto wa miaka 12 kuongelea swala la ngono ni jambo la kawaida kabisa..

"Sasa nini nikawanajiuliza, hizi dada zetu wa leo, Je mnafahamu haya? Au Mzee aliniambia tuu sababu sikua na ufahamu wa hili jambo"

Wajuzi wa mabo naombeni maono yenu katika hili na pia mtujuze zaidi...

Ahsanteni.
Wanaume hawa wanaobaka mpk wake zao wana muda wa kutafsiri hizo shanga!?
 
Kwani hao wanawake wote walikuwa mabubu hawawezi kusema kwa midomo?

Na wenye flat screen vipi? Kwasababu wao shanga huwa haziwakai zinateremka.
 
Umuulize na wanaovaa shanga zinarangi mbalimbali kwa pamoja unakuta red,blue,green, maloon, kahawia,grey sijui wanmanisha Nini??? Daah
Hahahahahah[emoji23] uyo kavurugwa..chachandu ina raha yake ati
 
Naunga mkono hoja. Ni kweli shanga zilivaliwa pamoja na mambo mengine ilikuwa kwa ajili ya mawasiliano kati ya make na mume.
 
Back
Top Bottom