Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

umefika
singida?
Mbeya?
Kama hujafika unahaki ya kuzungumza kama unavyonena.
 
unajua ukiona hivi leo ujue ni siku ya malovee maana nimeamka asubuhi na soma biblia wimbo ulio bora na ingia jf nasoma uzi mambo ya shanga duu hiii kazi kweli kweli..
 
Nakumbuka tarehe4 usiku pale Iringa Holiday's pub kama sikosei. Nilihesabu shanga kama ishirin iv za kiunoni.
The same to Mbeya.

Bujibuji unaniangusha my friend.
 
Mkuu, umekutana nao wangapi hawajavaa shanga?
 
Tatizo vijana hatujui ma2mizi yake. ikibidi 2pewe matangazo kama yalivyo ya kondom then utumiaji utapanda kama zamani. kama ww wajua m2miz yake 2pe ili 2we extrem nazo
 
Najua sio kosa lako lakini si mbaya kujilinda na kujihami, uwe makini sana na shanga za mabinti wetu wa sasa ssio kama wa zamani kumekuwa na wengine wanatumika kama maagent wa shetan kuchukua nyota zako baraka zako na ndio maana wengine wakiona shanga wanakuwa kama wehu hata wakiwa wanafanya mapenzi wenzao wakiwapitishia sehemu zisizofaa wala awasikii sasa basi pengine umekuwa na ulevi wa jinsia hii kuwa makini uskimbilie kuchezea shanga zingine watu ziko kazini.
Kama unaweza achana nao kabisa.

kila la heri usiku mwema
 
Hizo shanga za mkeo ama...!

Sijawahi ona nyota zikaibwa... sasa huwa wanazipeleka wapi.... Kwenye galaxy mpya!?
 
hzo nyota znakaa wap ktk mwili wa binadamu?
 
it sounds weird mazeri! hii kitu aiko sawa kabsa!
 
Najua sio kosa lako lakini si mbaya kujilinda na kujihami
uwe makini sana na shanga za mabinti wetu wa sasa ssio kama wa zamani kumekuwa na wengine wanatumika kama maagent wa shetan kuchukua nyota zako baraka zako na ndio maana wengine wakiona shanga wanakuwa kama wehu hata wakiwa wanafanya mapenzi wenzao wakiwapitishia sehemu zisizofaa wala awasikii sasa basi pengine umekuwa na ulevi wa jinsia hii kuwa makini uskimbilie kuchezea shanga zingine watu ziko kazizni
Kama unaweza achana nao kabisa
kila la heri usiku mwema

Duh! kama habari ndio hiyo mkuu, ngoja nikamwambie demu wangu azipige chini zote sasa hivi.
 
Kabisa hasa shanga za nyumba ndogo na za kazi za nje. Wanakuwa wamezitengeneza kwa waganga wale wataalam wa maswala ya mapenzi ili kila mwanaume atakayempitia asifurukute,kila atakachoambiwa awe anasema ndio,zinakunasisha kabisa unasahau na mkeo unatelekeza hadi familia.

Haya mambo yapo hujasikia watu wanaweka dawa uken au kipande cha nyma halafu unapikiwa wali na kipande hcho unapewa ule,matokeo yake unanaswa kiujumla.
 
Nyie mnaobisha na kupuuza, huku mkiona kama ni porojo shauri zenu! Wakati sisi tunalala na kuendekeza masihara, kumbukeni yule mshitaki wetu (shetani), halali wala hachoki, anabuni mbinu mbalimbali kila wakati! Tusifanye masihara, tutafakari na kuchukua hatua!
 
jaman asante uliyoyasema yanawezakuwa kweli asilimia 100 ibilisi ana milango mingi na mbinu nyingi za kufanya uharibifu
 
Back
Top Bottom