Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hbr wanajf mwenzenu nina demu wangu na lengo tuje kuoana lakini kinachonishangaza mimi kila anapokuja kwangu kulala hanipi mpaka nizime taa ndiyo ananipa nisipozima taa sipewi na hata nikiomba mchana tena ndiyo kabisa nimejaribu kumuuliza anadai eti anaona aibu hivi kweli inawezekana?
Naomba uthibitishe kisayansi kuwa shanga zinaondoa kizaz au zinaleta watoto kama mwanamke hapat mtoto. Otherwise mchuchu wang ataendelea kuzivaa tu. Na nnapenda avae akisahau namkumbusha!
Hbr jamani wana jamvi leo tunataka kuelimishana juu ya uvaaji wa shanga kwa wanawake wakati wa kufanya tendo la ndoa.sasa kwa wasichana wengi imekuwa kama ni fasheni kuvaa shanga wakati wanapotaka kwenda kukutana na wapenzi wao lkn kiukweli shanga zina maana tofauti kama tunavyofikiria kizazi cha sasa kwamba zinaongeza radha wakati wa kubanjuka lkn sivyo shanga huvaa wanawake wenye matatizo ya kizazi kama dawa wakati wa tendo kwa wenye matatizo hayo na ndio maana hata watoto wao wanapozaa huvalishwa shanga na hii inategemeana na rangi husika kwa tatizo husika na hivyo pia hutegemea tamaduni ya jamii husika pia shanga hutumika kusitisha kizazi kwa wakati ambao wazazi huridhika na watoto walio nao.angalizo kwa wanawake ambao hupenda kuvaa shanga pasi na elimu ya jamii yako .unaweza ukawa hupati mtoto kumbe tatizo ni shanga ulizonazo kuweni makini ktk hili wajameni
At this juncture? Tunahitaji elimu ya shanga na watoto?
Ngoja malekchara tupate kazi. Tunaunganisha na kile chuo cha kutongoza. Nna post doctoral certificate ya bi chau and mama victor college of divas (ipo davos hii)
Hbr jamani wana jamvi leo tunataka kuelimishana juu ya uvaaji wa shanga kwa wanawake wakati wa kufanya tendo la ndoa.sasa kwa wasichana wengi imekuwa kama ni fasheni kuvaa shanga wakati wanapotaka kwenda kukutana na wapenzi wao lkn kiukweli shanga zina maana tofauti kama tunavyofikiria kizazi cha sasa kwamba zinaongeza radha wakati wa kubanjuka lkn sivyo shanga huvaa wanawake wenye matatizo ya kizazi kama dawa wakati wa tendo kwa wenye matatizo hayo na ndio maana hata watoto wao wanapozaa huvalishwa shanga na hii inategemeana na rangi husika kwa tatizo husika na hivyo pia hutegemea tamaduni ya jamii husika pia shanga hutumika kusitisha kizazi kwa wakati ambao wazazi huridhika na watoto walio nao.angalizo kwa wanawake ambao hupenda kuvaa shanga pasi na elimu ya jamii yako .unaweza ukawa hupati mtoto kumbe tatizo ni shanga ulizonazo kuweni makini ktk hili wajameni
Hbr jamani wana jamvi leo tunataka kuelimishana juu ya uvaaji wa shanga kwa wanawake wakati wa kufanya tendo la ndoa.sasa kwa wasichana wengi imekuwa kama ni fasheni kuvaa shanga wakati wanapotaka kwenda kukutana na wapenzi wao lkn kiukweli shanga zina maana tofauti kama tunavyofikiria kizazi cha sasa kwamba zinaongeza radha wakati wa kubanjuka lkn sivyo shanga huvaa wanawake wenye matatizo ya kizazi kama dawa wakati wa tendo kwa wenye matatizo hayo na ndio maana hata watoto wao wanapozaa huvalishwa shanga na hii inategemeana na rangi husika kwa tatizo husika na hivyo pia hutegemea tamaduni ya jamii husika pia shanga hutumika kusitisha kizazi kwa wakati ambao wazazi huridhika na watoto walio nao.angalizo kwa wanawake ambao hupenda kuvaa shanga pasi na elimu ya jamii yako .unaweza ukawa hupati mtoto kumbe tatizo ni shanga ulizonazo kuweni makini ktk hili wajameni
Hapo nilipobold sijapaelewa kabisa, ina maana shanga pia hutumika kama mojawapo ya njia za uzazi wa mpango kwa baadhi ya tamaduni? Tunafananisha utendaji kazi wa shanga kusitisha kupata watoto sawa na sindano, vipandikizi, vidonge vya uzazi, vijiti, cndm au kalenda?